Ndoto gani ya ajabu ambayo hutakuja kuisahau katika maisha yako yote?

Ndoto gani ya ajabu ambayo hutakuja kuisahau katika maisha yako yote?

Joined
May 1, 2022
Posts
26
Reaction score
25
Wadau Eid Mubarak

Takribani karibia watu wote tukilala huwa tunaota ndoto.... Kuna zile za uongo na fix za kutosha kama vile kuota umeokota gunia la hela, yaani unyama mwingi mwaisa 😂😂😂 (kila mtanzania kaota hii ndoto) na zile za matukio ya kweli ambazo ukiota inatokea kweli.....

Sasa basi ni ndoto gani ambayo ushawahi kuota lakini mpaka leo inakuogopesha au ilitokea live mpaka hutamani hata kuikumbuka lakini ndo hivo inashindikana???
 
Ndoto ya kupanda ndege halafu inapata ajali.Ndoto hii huwa inajirudia mara kibao. Yaan hii kitu inaninyima raha sana na sijui first
time nikipanda itakuaje
 
Ndoto ya kupanda ndege halafu inapata ajali.Ndoto hii huwa inajirudia mara kibao. Yaan hii kitu inaninyima raha sana na sijui first
time nikipanda itakuaje
Yawezekana kuna kitu huwa unaepushwa nacho... Usije jaribu kupanda!
 
Ndoto ya kupanda ndege halafu inapata ajali.Ndoto hii huwa inajirudia mara kibao. Yaan hii kitu inaninyima raha sana na sijui first
time nikipanda itakuaje
Anguko lako la kiuchumi na kimaisha lipo karibu
 
Wadau Eid Mubarak

Takribani karibia watu wote tukilala huwa tunaota ndoto.... Kuna zile za uongo na fix za kutosha kama vile kuota umeokota gunia la hela, yaani unyama mwingi mwaisa [emoji23][emoji23][emoji23] (kila mtanzania kaota hii ndoto) na zile za matukio ya kweli ambazo ukiota inatokea kweli.....

Sasa basi ni ndoto gani ambayo ushawahi kuota lakini mpaka leo inakuogopesha au ilitokea live mpaka hutamani hata kuikumbuka lakini ndo hivo inashindikana???
Kuwa rais wa Tanganyika mwaka 2030.
 
Back
Top Bottom