Kuna member aliwahi kuja kuomba ushauri kwamba.... ameota anajisaidia, lakini hakusema kilicho tokea baada ya ndoto...😜🤣Wakuu habari
Naomba ufafanuzi huu nimeota nipo kwenye gari daladala nimekaa siti ya mbele na rafiki yangu mara gafla gari ikafunga break rafiki yangu akatolewa nje kwenye kioo kwa nje kulikua na mtu kagongwa na iyo gari kichwa kimevimba.
Wakuu habari
Naomba ufafanuzi huu nimeota nipo kwenye gari daladala nimekaa siti ya mbele na rafiki yangu mara gafla gari ikafunga break rafiki yangu akatolewa nje kwenye kioo kwa nje kulikua na mtu kagongwa na iyo gari kichwa kimevimba.