Ndoto iliyo nipotezea mpenzi

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Hii imenitokea juzi kati wakuu nilikuwa na kifaa kipya ambacho nimekifukuzia takribani miaka 3 ndo juzi kati akaamua kuniachia nikague mali zangu huku nikimmwagia maahadi kem kem sasa siku hiyo nilikuwa nimekunywa sana kiasi cha kufanya ni uchape sana usingizi. Mchumba angu huyo akaniambia usiku wkt nimeuchapa usingizi akasema nilikuwa naota sweet vua basi kifuli na anadai kuwa nilikagua kidogo mewata zake sasa kila akiniangalia nimelala alafu naongea basi akaamua kunipa kibuti pale pale asubuhi lol ndoto zingine bana
 
Hivi sasa nataka nimlete kwa wapwa ili wampe somo ndoto nini, yeye anajua mm ni mhuni
 


Hivi kuna mwingine tena?aghriiii:sad:
 
Duh!! Una uvumilivu wa hali ya juu mkuu,miaka 3 unafuatilia tu??!!
Hongera kwa uvumilivu na pole sana kwa hiyo ndoto!!!
 
hehehe!
now i know ulienda iringa kufanya nini
 
Pole Fidel,,lkn pamoja na hayo usisahau kiapo,,J3
 
Pole Fidel,,lkn pamoja na hayo usisahau kiapo,,J3

Ahsante kinacho niuma huyu kiumbe nimefukuzia 3yrs kanionjesha Mungu akanipiga kofi.

Kiapo kimeanza kwa unyenyekevu.
 
Hahahaha Mlokole kanitoa mkuku teh teh teh 3yrs nimefukuzia nimepewa nafasi nimeharibu lol
mkuu umeharibu sana
nimeamini KISICHO RIZIKI HAKILIKI

au ni ile red-label?
 
Ahsante kinacho niuma huyu kiumbe nimefukuzia 3yrs kanionjesha Mungu akanipiga kofi.

Kiapo kimeanza kwa unyenyekevu.

Inawezekana Mungu kakuepusha na kitu,,na kwanini uonje??

nitafanya follow up ya kiapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…