Ndoto iliyobeba ufunuo au maono

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Zaidi ya asilimia 80 % Mungu huzungumza kupitia ndoto, ujumbe wa picha na alama ambazo zinakua zimebeba ujumbe au maagizo fulani.

Mungu huzungumza kwa mafumbo, ishara na picha tunaweza kuziona katika ulimwengu wa ndoto.

Mungu hutuma Malakia zake hapa duniani kushirikiana na Roho za wacha Mungu wake.
mfano. Tunajua Elisha alikua akifanya mambo mengi akisaidia na Jeshi la Malaika.
Unaweza kuzungumza na malaika katika ndoto, mfano Yusufu mumewe Mariamu.

Sitazungumzia ulimwengu wa kuonana na Malaika, lakini nitabaki katika kipengele cha ndoto ambazo ni ishara na maono ya kutupa taarifa ya nini cha kufanya katika maisha.

Maisha (life) huanzia rohoni.
Life is spiritual.
Roho upokea taarifa ya mambo yajayo na mambo ya kuzingatia ili kuwa na maisha ambayo Mungu kakupangia hapa Dunia.

Maono ya Usingizini / Ndoto.

Tafsiri ya Ndoto kuhusu...
i. Kuogelea
ii. Kuogelea kwa shida.
iii. Kuogelea bila shida yoyote.
iv. Kuogelea katika Maji machafu.
v. Kuogelea katika maji safi.

nini maana yake ?
................
Ndoto hizi sio ngeni kwa walio wacha Mungu na wasio wacha Mungu. twende Pamoja kwenye tafsiri na nini cha Kufanya.

Chapter 01.
 
Kuna kitabu kimoja nilikisoma 2012 Tafsiri za ndoto aisee kizuri sana kile. Nilikiazima waliweka namba za simu kuwa kinapatiķana mwengi lakini nilipofika hapo sikufakikiwa kukipata. Kizuri mno mno nilijifunza mengi sana mle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…