Uchaguzi 2020 Ndoto, maono na fikra za Dkt. Magufuli katika awamu yake ya pili kuelekea mikoa mbalimbali

Uchaguzi 2020 Ndoto, maono na fikra za Dkt. Magufuli katika awamu yake ya pili kuelekea mikoa mbalimbali

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
  • Generally ni Tanzania kuwa kama Ulaya
  • Arusha kuwa Calfonia
  • Kigoma kuwa lango la biashara Maziwa Makuu
  • Mbeya kuwa Chicago
  • Dar kuwa Birmingham
  • Tabora kuwa Toronto
  • Zanzibar kuwa Dubai
  • Dodoma kuwa kama San Fransico
  • Singida kuwa kama London
  • Mwanza kuwa lango la biashara
  • Tanga kuwa kitovu cha Biashara ya Mafuta
  • Bagamoyo kuwa lango kuu la Uchumi wa Bahari

Hatutaki ubeberu nchi hii, ila tunataka tufanane na wao. Kwanini usiwe kama Beijing au Shanghai? Hubei au Pyongyang je?
 
Hakika haya yote yanawezekana Tanzania tulipotoka ni mbali sana jamani

Mandela road kukoje jaman alafu tuangalie na zamani. Ubungo jamani ni ushuhuda mkubwa sana imewezakana au haijawezekana?
Kuweka imani katika kiongozi
 
  • Generally ni Tanzania kuwa kama Ulaya
  • Arusha kuwa Calfonia
  • Kigoma kuwa lango la biashara Maziwa Makuu
  • Mbeya kuwa Chicago
  • Dar kuwa Birmingham
  • Tabora kuwa Toronto
  • Zanzibar kuwa Dubai
  • Dodoma kuwa kama San Fransico
  • Singida kuwa kama London
  • Mwanza kuwa lango la biashara
  • Tanga kuwa kitovu cha Biashara ya Mafuta
  • Bagamoyo kuwa lango kuu la Uchumi wa Bahari

Hatutaki ubeberu nchi hii, ila tunataka tufanane na wao. Kwanini usiwe kama Beijing au Shanghai? Hubei au Pyongyang je?
Hatumkatai beberu kama beberu; bali tunapinga matendo yao dhidi yetu. Kama kuna mazuri wanayofanya, hatuna sababu ya kutoyafanya kama yana umuhimu kwetu. Kuhusu kutotumja mfano wa miji ya China ni kwamba lazima mfano ama kielelezo kisadifu maarifa majumui (general knowledge) ya wahusika.
 
  • Generally ni Tanzania kuwa kama Ulaya
  • Arusha kuwa Calfonia
  • Kigoma kuwa lango la biashara Maziwa Makuu
  • Mbeya kuwa Chicago
  • Dar kuwa Birmingham
  • Tabora kuwa Toronto
  • Zanzibar kuwa Dubai
  • Dodoma kuwa kama San Fransico
  • Singida kuwa kama London
  • Mwanza kuwa lango la biashara
  • Tanga kuwa kitovu cha Biashara ya Mafuta
  • Bagamoyo kuwa lango kuu la Uchumi wa Bahari

Hatutaki ubeberu nchi hii, ila tunataka tufanane na wao. Kwanini usiwe kama Beijing au Shanghai? Hubei au Pyongyang je?
Inaonekana Kuna baadhi ya watu wanavuta bangi kisiri
 
Back
Top Bottom