mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
- Generally ni Tanzania kuwa kama Ulaya
- Arusha kuwa Calfonia
- Kigoma kuwa lango la biashara Maziwa Makuu
- Mbeya kuwa Chicago
- Dar kuwa Birmingham
- Tabora kuwa Toronto
- Zanzibar kuwa Dubai
- Dodoma kuwa kama San Fransico
- Singida kuwa kama London
- Mwanza kuwa lango la biashara
- Tanga kuwa kitovu cha Biashara ya Mafuta
- Bagamoyo kuwa lango kuu la Uchumi wa Bahari
Hatutaki ubeberu nchi hii, ila tunataka tufanane na wao. Kwanini usiwe kama Beijing au Shanghai? Hubei au Pyongyang je?