Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Sijawahi kwenda kwa Mganga yeyote. Huwa siamini mambo hayo.Vile mnaenda kwa waganga kutafuta utajiri halafu mnaondoka mazima,
DuuuhhNyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
DuuuhhNyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Ndoto hiyo sio nzuri. Inaashiria kuingizwa katika ulimwengu wa wachawi. Ni kawaida kwa wanaingizwa (initiates) kunyweshwa damu na kulishwa nyama za watu. Hivyo mtafute mtumishi wa kweli wa Mungu akusaidie.Habari za majukumu Wana wa JF.
Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.
Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.
Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).
Je, ndoto hii yamaanisha nini?
Kunywa usibe na utuletee mrejeshoHabari za majukumu Wana wa JF.
Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe.
Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake.
Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha niliposhutuka. Kwa Sasa nipo mbali Sana na Mganga huyu wa kienyeji (Sangoma).
Je, ndoto hii yamaanisha nini?
Naomba namba zakeNyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Ndo umeamua uje unitangazee[emoji2][emoji2][emoji2]Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
...Sasa Umemjuaje huyo Mganga Mpaka Umemuita ??... Umemjuaje kwamba Huyu niliyemuota ni Mganga Mkubwa ?? [emoji848][emoji848]Sijawahi kwenda kwa Mganga yeyote. Huwa siamini mambo hayo.
...Kwa hiyo ?? Kuota Kojo jingi ni Nini?? ...Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Najua huna account hukuNdo umeamua uje unitangazee[emoji2][emoji2][emoji2]
Nyie watu mnaokuwa mnaota ota mandoto mengi mengi kila mara kuna siku mtaumbuka
Kuna demu nae alikuwa anaota ota sana mandoto ya ajabu ajabu mengine ya ukwel,juzi kati hapa kaota anakojoa kakojoa kojo la hatari tena jingi kama la kusquirt yaan lilikuwa na presha ya ajabu afu jingi hatari,afu demu mwenyew mzur balaaa
Amen, ntafanya hivyoNdoto hiyo sio nzuri. Inaashiria kuingizwa katika ulimwengu wa wachawi. Ni kawaida kwa wanaingizwa (initiates) kunyweshwa damu na kulishwa nyama za watu. Hivyo mtafute mtumishi wa kweli wa Mungu akusaidie.
Huwa namwona, namfahamu kama mtu Mwingine tu. Sijawahi kuitumia huduma yake...Sasa Umemjuaje huyo Mganga Mpaka Umemuita ??... Umemjuaje kwamba Huyu niliyemuota ni Mganga Mkubwa ?? [emoji848][emoji848]