Ndoto na maana zake

Ndoto na maana zake

Head current

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
479
Reaction score
128
Wanabodi husika na kichwa cha habari hapo juu, kumekuwa na watu wengi (sio wote) ambao wangependa kupata tafsiri za ndoto mbalimbali, walizoota au wanazoota, na ni matumaini yangu kuwa humu jamvini wapo wenye uelewa wa tafsiri za ndoto mbalimbali.

Basi karibuni tupeane uzoefu wa maswali na majibu ya ndoto mbali mbali,mimi naanza kwa kuuliza; Ukiota unakimbizwa na watu halafu ukaanza kupaa juu bila wao kukufikia ndoto hii ina maana gani?
 
Wanabodi husika na kichwa cha habari hapo juu, kumekuwa na watu wengi (sio wote) ambao wangependa kupata tafsiri za ndoto mbalimbali, walizoota au wanazoota, na ni matumaini yangu kuwa humu jamvini wapo wenye uelewa wa tafsiri za ndoto mbalimbali.

Basi karibuni tupeane uzoefu wa maswali na majibu ya ndoto mbali mbali,mimi naanza kwa kuuliza; Ukiota unakimbizwa na watu halafu ukaanza kupaa juu bila wao kukufikia ndoto hii ina maana gani?
Ndoto za kuota unakimbizwa zina tafsiri nyingi. Moja yaweza kuwa ishara ya kuhimizwa kufanya jambo fulani.
Lakini kwa maelezo ya ndoto yako ni kuwa unawindwa na kundi ovu ili kuangamizwa but Mungu anaagiza malaika wake wakupeperushe kukuokoa.
Uwe mtu wa sala na shukrani kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom