Ndoto niliyoiota usiku wa leo

Ndoto niliyoiota usiku wa leo

Lumbi9

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
8,666
Reaction score
12,178
Usiku wakati nimelala nimeota nafanya kazi sehemu ya hatari sana, sikujua ni floor ya ngapi lakini ilikuwa juu sana, pia kama ningefanya uzembe ningeanguka na matokeo yake yangekua mabaya sana. Sasa, naomba kwa ambaye anaweza kuwa na maana ya ndoto hii sababu kila ndoto huwa ina maana yake tatizo ni jinsi ya kuipambanua.

Ahsanteni!

cc Pasco Ishmael Kiranga mshana jr Rakims na wengineo wote!
 
Thank you for allowing me to participate in your dream interpretation.

If you dream of a tall building, it portends upcoming changes for the better, inter-alia, this can be a comfortable life, career advancement, and the realization of the potential in different spheres.

Furthermore, tall building hints you to act. If you accept some offer timely, you will experience significant changes for the better.

@peterchoka , in the dream, it is very important to remember the height of the building, as it tells about the level of your success in society. If the building is tall and strong, then the prospects for improvement are very real. Sometimes it happens that the building can be high, but not solid, this bodes, for example, troubles in climbing the career ladder, or tricks on the part of angry colleagues.

If the building is ruined or it is not properly constructed, it signifies your doubts about own abilities. You are afraid of something and you don’t want to make the first step towards your goal.

This is all I have for now,

God Bless
 
Usiku wakati nimelala nimeota nafanya kazi sehemu ya hatari sana, sikujua ni floor ya ngapi lakini ilikuwa juu sana, pia kama ningefanya uzembe ningeanguka na matokeo yake yangekua mabaya sana. Sasa, naomba kwa ambaye anaweza kuwa na maana ya ndoto hii sababu kila ndoto huwa ina maana yake tatizo ni jinsi ya kuipambanua.

Ahsanteni!

cc Pasco Ishmael Kiranga mshana jr Rakims na wengineo wote!

Ina Maanisha Kuwa Mwaka Huu Utapanda Ndege Sana au Unaweza Kuwa Rubani Wa Rais Mpya Wa Tanzania Hivyo Wewe Kula Bata Tu.
 
kuota uko juu iwe gorofa au jengo refu au mnara ni ishara ya mafanikio so kaza buti pamoja na msoto wote wa maisha basi jua maisha yaweza kukuendea vizur
 
Usiku wakati nimelala nimeota nafanya kazi sehemu ya hatari sana, sikujua ni floor ya ngapi lakini ilikuwa juu sana, pia kama ningefanya uzembe ningeanguka na matokeo yake yangekua mabaya sana. Sasa, naomba kwa ambaye anaweza kuwa na maana ya ndoto hii sababu kila ndoto huwa ina maana yake tatizo ni jinsi ya kuipambanua.

Ahsanteni!

cc Pasco Ishmael Kiranga mshana jr Rakims na wengineo wote!

Kuna Ndoto Aina Tatu:

1:ndoto ya nafsi yako
2: ndoto ya nafsi nyingine
3: ndoto ya ubongo wako

Hii Ya Kwako Inabase Kwenye Ndoto Aina Ya Tatu Hapo Maana Subconscious mind yako inakwambia mambo mawili katika mwili wako hapo

1: feeling (hisia za mwili)
2: thoughts (fikra Za Ubongo)

kwa inavyoleta zaidi hapa inaingia sehemu zote mbili Zimechanganya zikiungana zinatengeneza picha moja...

kuna kitu mwilini inaitwa self body paralysis hii hutokea pale mtu anapoanza safari ya usingizi ili kumlinda asijiumize wakati wa kuota..

wakati inaachiwa hii it depend vile ulivyolala yaani sleeping posture ikiwa umelala tenge itatanda upande mmoja wa mwili.. ikitanda hapo panakuwa na uzito na huko ambapo haijaweka uzito wewe utajihisi mwepesi....

sasa kwa kuwa umelala kitakachotokea kukusaidia ili ubalance isambae pote utapata njozi inayolenga hiyo kitu... ndio maana ukaota upo huko juu.. wengine huota wapo kwenye ncha ya shimo au hata pembeni ya moto wanajivuta wasiungue...

sasa wakati unajivuta ndotoni usiguse huo moto au kudondoka ili sehemu ambayo ilikuwa haijawa paralysis inamove ndio maana utakuta ulilala chali ukaamka umelala ubavu au fudi fudi....

Ahsante

"Rakims"
 
Back
Top Bottom