Ndoto nyingine bwana!

Ndoto nyingine bwana!

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,308
Jamaa wawili walikua wamekaa pamoja, mmoja akamwambia mwenzake: Leo nimeota niko UFARANSA,yule mwenzake akasema: na mi leo nimeota nimewaalika watu kwangu. yule jamaa wa kwanza akahamaki sana akamwambia mwenzake'' Mbona hujanialika na mimi''? Jamaa akamjibu: mi nlidhani bado upo UFARANSA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahah,wte wabinafsi asa jamaa si angenda na mwenzie ufaransa...teh
 
Back
Top Bottom