tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Mkuu achana nao hiyo ndoto ni ya mchana kweupe anaanzaje kuachia uenyekiti mpaka mwingine aje awe mgombea? Upinzani wenyew hauaminiki magufuli ni forever mpaka 2025Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Mazuri yapi Mzee?Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Lala tena uote, jamaa anapiga kazi tu kutimiza aliyoahidi. Kwa mujibu wa katiba mkataba wake ni awamu moja tu (5 yrs), hiyo awamu nyingine unaiota wewe.Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
Kumbe watoto ni wengi humuAngalia mkuu, Lema anasotea mahabusu sababu ya kuota mambo ya mkuu. Anyway mwenyewe juz nimeota ananikimbiza
Shikamoo faiza,upoUnaweza kutueleza kati ya Maraisi wote waliowahi kutawala Tanzania hii, ni yupi aliyejaribiwa kupinduliwa mara nyingi?
Mazuri yapi Mzee?
Hajatoa mkopo kwa mwanafunzi ata mmoja aliyewahi kupita private schools.
Amebana pesa na hakuna biashara inayoenda vizuri mtaani.
Tangia mwaka Jana mpaka sasa bei za vitu zimepanda karibia Mara mbili.
Sembe 25kg inauzwa 39000 kutoka 19000 na amenyamaza kama haoni.
Amezima matangazo ya bunge live bila sababu za msingi,
Hajatoa ajira ilihali kuna sekta kibao zinaupungufu.
Unamsifia kwa mazuri gani kaka?
Million 50 kwa kila kijiji au?
Tanzania ya viwanda au?
Kupanda kwa ushuru kila sehemu au?
Acha mahaba ndugu leta facts, wanamsifia kwasababu hawajui tunavyotaabika .
Kesi zenyewe za bandarini na akina masamaki hatujui zimeishia wapi?
Hakuna fisadi ata moja lililokanatwa au kufilisiwa, ww unataka tumusifie kwa lipi?
Na unajiita great thinker toka lini ndoto zikawa kweli basi ota uwe Bakhresa au uwe trump na tuone iwe kweliWana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
π΅π΅π΅π΅π΅π΅π΅Binafsi naona kabisa nchi hii imemshinda na akisema anajiuzulu watu wengi watafurahi sana .
Hajatoa ajira mpya na ilihali sekta kibao zinamapungufu.
Amebana sana pesa mtaani kiasi kwamba hakuna biashara inayoenda vizur.
Vitu vimepanda bei karibia Mara mbili mfano sembe 25kg inauzwa 38000 kutoka 19000.
Hajatoa mkopo kwa mwanafunzi ata mmoja aliyewahi kupita private school ata kama alisomeshwa kwa msaada.
Amezima matangazo ya bunge bila sababu yoyote ya mhimu.
Hakuna fisadi lolote alilokamata wala kulitaifisha Mali.
Zile million 50 zilikuwa porojo tu, maana yake tulidanganywa.
Me naona anasitahili kukaa chini ya mtu ila falsafa za uongozi na uchumi haziwezi.
Mi nawashangaa sana watanzania. Tuna rais ambaye africa nzima akigombea urais anashinda. Then nchini kwake anaonekana kituko. Binafsi huwa naumia sana ninapoona mtu anambeza rais. Amefanya mangapi mazuri then mnakuja kumdisqualify kwa vitu vidigo sana. Ikumbukwe yeye si malaika, hivyo anaweza kukosea ama kufanya jambo ambalo wewe ama nyie hamkupendezwa nalo.
Utalipa kodi hata kwa lazimaHata hiyo miaka mitano ni mingi, kama inawezekakana wamtoe hata leo
Na huo mchakato maana yake kutakua na mwenyekiti mwingine wa chama wa muda..it meanz watampindua embu kuweni serious kidgo yule ndo president na ndo chairman wa CCM..nan anabisha..[emoji34][emoji34][emoji34]CCM hawafanyi tena mchakato wa kumpata Mgombea mwingine mpaka aliyepo amalize miaka 10 kwenye enzi.
Bana Paskali ndo wewe wa kule kwenye uzi wa Juma Pinto ukitokea na @Pasco?Mkuu TangataUnyakeWasu, hiyo ndoto yako ni ndoto ya ajabu sana, ambayo inakupa hadi the reasons behind!.
Kwa kawaida ndoto huwa unaoteshwa kitu lakini bila majibu, halafu majibu yatakuja kupatikana kwenye tafsiri ya ndoto hiyo.
Nilitegemea ungesema hii ni mara ya tatu unaoteshwa kuwa rais Magufuli ni one term president.
Ndoto za aina hii nyingine huwa ni sauti ya Mungu au maono. Mungu akikuotesha jambo, hakupi majibu bali utaona tuu matokeo, sasa wewe na hii ndoto yako imekuambia Magufuli atapigwa chini na mchakato wa ndani wa CCM? . Kwani CCM huwa inamchakato wa ndani kabla ya miaka 10?. Kwa kukusaidia tuu wewe na hiyo ndoto yako ya uongo, CCM haina mchakato wa ndani wa urais kwa mwaka 2020 bali aliyepo huendelea, hakuna hata utoaji wa fomu! .
Kama ungesema Mungu amekuotesha bila kukupa sababu, hiyo ndio ingeweza kuwa ni ndoto ya kweli ya maono kama ile ndoto ya Lema.
Paskali
Huko Mugango mwibhara usirudi hapaNiende wapi mkuu