Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 797
- 2,233
Au inawezekana hata mtu mwenyewe anayeamuriwa hayupo yupo na Magu...😀😀😆😆😆😆
Watu wa namna hii Mungu hawaondoi mapemaAu inawezekana hata mtu mwenyewe anayeamuriwa hayupo yupo na Magu...😀😀
DuuhWana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!
ChaiWatu wa namna hii Mungu hawaondoi mapema
YeahNadhani huu uzi haujafufuliwa kwa habadi mbaya.
Then what has transpire,d?Magufuli ataendelea kuwa rais kwa miaka 10. Tena binafsi natamani hata awe rais kwa miaka 20 au zaidi maana Tanzania tulihitaji rais kwa ma huyu tokea miaka mingi ilopita. Kwa nyie wazembe msiotaka kula kwa jasho ndo mnamchukia. Ila sisi ambao tulitamani atawle hata kabla hajachukua form ya kugombea ndo tunampenda na tunamwombea asubuhi na usiku.
Kwani mlimuua?Chai
Lini aliwahi kushindana?Kwan kwenye kura za sanduku zipi aliwahi kushindwa?
2020 ulivyoenda kupiga kura, wagombea walikuwa nan na nan?Lini aliwahi kushindana?
Kwani kulikuwa na uchaguzi au monyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura?2020 ulivyoenda kupiga kura, wagombea walikuwa nan na nan?
Kama ni yeye kweli alifanya jambo la maana kumuundoa dhalimu yule.Ndoto Yako imetimia ila Mama Abdul,ndiye mchezaji mzuri aliyeifanikisha
Na mbona nyie chadema mlishiriki?Kwani kulikuwa na uchaguzi au monyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura?
1.Matendo yep?Matendo yake yanaonyesha kuwa Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Taifa hili. Makosa yakiyofanywa na CC ya CCM mwaka 2015 yalikuja kusahiishwa na Mungu mwenyewe tarehe 17/03/ 202q
Yeye ndiye pepo kuliko yuleKama ni yeye kweli alifanya jambo la maana kumuundoa dhalimu yule.
Hilo utajua ww.Yeye ndiye pepo kuliko yule
ubatili upi?Mwanasheria mzima ukaunga mkono ubatili?
Kwani ni mpango wa nani?。Halafu miaka 4 mbele ukaja tena kusema mama Abdul ni mpango wa Mungu.
Unadvocate removal of term limit.ubatili upi?
Samia hajachaguliwa hivyo sio mpango wa yoyote, she is there by default, kwangu ni rais wa mpito ilitakiwa rais akifia madarakani uchaguzi ufanyike baada ya siku 90 kama watu walivyoweka mapendekezo issue ya kurithi inaweza kuwa risk namba 2 ammalize 1 akijua atachukua kijiti.Kwani ni mpango wa nani?。
Labda mungu wa Chato au Burundi.Ni Mungu alimleta JPM
Alifariki kwa atrial fibrillation , iliyochagizwa na complication za Covid -19 , alikuwa baba haambiliki licha ya kuwemo katika makundi hatarishi yanayoweza kushambuliwa na kupoteza maisha kirahisi kwa Covid -19[ makundi haya yalitajwa kabisa na wataalam] yeye alikuwa anafanya ziara na mikusanyiko huku akihamasisha watu wasivae barako akidai ndio zimebeba virusi.Ni Mungu alimtwaa JPM
Sio kweli, huyu karithi kiti tu akisaidiwa na Mabeyo , wahuni kutoka Ruangwa, Karagwe na Kongwa walikuwa washampiga mama yenu goli la kisigino , mungu haleti viongozi wananchi ndio wanaopiga kura huyo mungu hapigi kura yoyote ingekuwa hivyo basi duniani kote basi mungu ndio tungekuwa tubasubiri apige kura sisi tunapokea uongozi na watu wasingegombea na kunadi sera zao wapigiwe kura.Ni Mungu amemleta Mama!。
Ni haki yako kusema mitano tena , maana pia ni sehemu ya green pasture kwako , saa hizi unalamba tenda za kutosha na PR husumbuliwi influence kubwa uliyokuwa nayo toka utawala wa Ben na huu wa sasa unafanya unapepea wengine hatutegemei hayo kama tuliweza kuja ugenini na tukaanza moja na kusimama hatuhitaji technical know who bali technical know how ndio inafanya tuendelee kuwepo kwa miaka mingi ambapo wewe ulipakimbia , ila jua una deni katika reputation yako uliyoijenga kwa miaka zaidi ya 30 umekuja kuiangusha mwenyewe hivyo huna wa kumlaumu.Na kama amempangia kuendelea,then 2025 ni mitano tena kwa Maza,na ni Mama tena!。
P
Ndoto au upuuzi wa kupangwa?Wana Jf wenzangu......!!
Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini katika mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama chake.
Hii ni kutokana na makundi mengi ambayo yameanza kujipanga kwa kutumia mbinu mbalimbali ndani ya chama kwani wengi wao awapendezwi na aina ya utawala anaoendelea nao kwa sasa ndani ya chama na Taifa.
Ni hayo tu nimeona niwashirikishe....!!