Ndoto ya ajabu

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Nilikua na mpenzi wangu, baada ya kwenda round kadhaa, tulipitiwa na usingizi. Cha ajabu niliota nafanya mapenzi na demu mwingine na nikap*izi kabisa na kuchafua mashuka.

Sasa wakuu hii ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume?
 
Nilikua na mpenzi wangu, baada ya kwenda round kadhaa, tulipitiwa na usingizi. Cha ajabu niliota nafanya mapenzi na demu mwingine na nikap*izi kabisa na kuchafua mashuka. Sasa wakuu hii ni tatizo au ni kawaida kwa mwanaume?
Una matatizo...tafuta psychologist kwa msaada zaidi
 
Unamatatizo ya AKILI au ya KISAIKOLOJIA, tafadhali waone wadakitari ya akili au wanasaikolojia iliwakupatie ushauri nasaha
 
Mie mbona naona kama sio tatizo la kisaikilojia..zaidi labda ulimtamani huyo mwanamke mwingine na yuko mawazoni kwako .
 
hiyo kali nashindwa hata kushauri nipe:A S clock: kidogo nifikirie
 
The most important organ in sex is the brain......
In this case your brain was actually miles away from your gf, meaning you are very sexually attracted to the woman in your dreams.
 
umezidi umalaya, unataka kupata msaada kuhusu umalaya wako? acha uzinzi na uasherati
 
Au mkuu hukuridhika na gwaride la mama?.,kuna wengine huwa wanaota wanafanya mastabeshen hadi kinaeleweka na ametoka kupiga kazi muda si mrefu
 
Inawatokea wengi kaka. C wewe tu. Na hii hutokana na tamaa ya kuwa na mwanamke unayemtamani kimapenzi zaidi. Inawezekana unampenda mpenzi wako, ila huyo mwanamke mwingine yupo sexy kwako zaidi ya mpenzi wako. So wewe unamtamani saaaana huyo mwanamke mwingine kimapenzi coz anakuvutia. Hayo mawazo yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…