PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
Sawa mkuu subir nivi uploadLete vyeti vyako kwanza tuvihakiki
Sent from My Scania 109 Using JF Mobile App
Ukiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.Nimekua na teswa mara kwa mara na ndoto kama yako mkuu.. Na mara nyingine nipo kabisa kwenye chumba cha mtian ila sijasoma chochote.. Mwenye ujuzi wa maswala ya ndoto atusaidie
Umetoa maelezo mazuri na sahihi sana. Mm pia ni mhanga wa hizi ndoto na huwa nakutana na vizingiti balaa.Ukiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.
Chunguza maisha yako vizuri unakuta kuna mambo haya yafuatayo:
Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita, na umekwamishwa kiroho kuvuka na kwenda kwenye nafasi yako ya ukubwa au mafanikio.
- umekuwa ukikwama katika mambo yako kila wakati
- unaishi nyuma ya wakati wako; yaani ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo
- huridhiki na maendeleo yako pamoja na kuwa na elimu kubwa na ujunzi mzuri
- ulikuwa unafanya vizuri darasani lakini maendeleo yako sasa hayalingani na kipaji chako
- umekuwa na ambitions za kitaaluma lakini hujaweza kuzifikia
Hivyo basi unapaswa kuchunguza maisha yako. Angalia historia ya familia yako, baba, mama, kaka na dada zako, je nao wapo kwenye hali ya kuchelewa maishani?
Unahitaji kuondolewa hapo ulipokwama kiroho kabla hujachelewa mno. Inategemea imani yako ilivyo lakini haijalishi pia, kwani Mungu huongea kila wakati na kila mtu kwa namna yake ikiwa ni pamoja na kupitia ndoto. Ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatutambui kabisa kwamba Mungu amezungumza licha ya kutambua amezungumza nini!
Unahitaji kutoka hapo ulipo kiroho, umekwama au umekwamishwa kiroho. Ulimwengu wa kiroho upo na unafanya kazi kwa ufanisi na usahihi usioelezeka. Tafuta watu ambao kweli ni watumishi wa Mungu Mwenyezi na uwaeleze shida yako nao watakuombea na kukusaidia '"Kutoka" hapo ulipo. Nawe kuanzia sasa anza kuzungumza na Mungu kama unavyozungumza na yule unayemheshimu sana, mwambie kila kitu, kila shida yako na mwombe specifically unachotaka akufanyie ukitaja tatizo lako barabara na kumwambia unataka afanye nini hasa. Fanya hivyo bila kuchoka ama kuona aibu kila wakati. Fuatilia matokeo yake na pia andika uombacho na tarehe, fuatilia maombi yako kwa imani, Mungu si mwanadamu ili asahau au ashindwe kukujibu, atakujibu tu, kuwa mwangalifu akizungumza umsikie kwani ndipo tatizo kubwa la mwanadamu; wengi hawasikii Mungu anapozungumza! Atazungumza na kukujibu kila kitu, fuatilia kwa uangalifu mkubwa, Mungu ni mwaminifu mno na hujibu kila ombi!
Kama una maswali zaidi nitakusaidia zaidi, tuwasiliane. Nimekuwa katika hali kama hii naifahamu vizuri na ninaendelea kutoka kwa kasi kubwa kila siku.
Fazili naomba nisaidie nami. Niweze kuondokana na hii kwa kasi km yako, huo mfumo wa maombi nielekeze maana nina magumu yamenizingira.Ukiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.
Chunguza maisha yako vizuri unakuta kuna mambo haya yafuatayo:
Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita, na umekwamishwa kiroho kuvuka na kwenda kwenye nafasi yako ya ukubwa au mafanikio.
- umekuwa ukikwama katika mambo yako kila wakati
- unaishi nyuma ya wakati wako; yaani ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo
- huridhiki na maendeleo yako pamoja na kuwa na elimu kubwa na ujunzi mzuri
- ulikuwa unafanya vizuri darasani lakini maendeleo yako sasa hayalingani na kipaji chako
- umekuwa na ambitions za kitaaluma lakini hujaweza kuzifikia
Hivyo basi unapaswa kuchunguza maisha yako. Angalia historia ya familia yako, baba, mama, kaka na dada zako, je nao wapo kwenye hali ya kuchelewa maishani?
Unahitaji kuondolewa hapo ulipokwama kiroho kabla hujachelewa mno. Inategemea imani yako ilivyo lakini haijalishi pia, kwani Mungu huongea kila wakati na kila mtu kwa namna yake ikiwa ni pamoja na kupitia ndoto. Ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatutambui kabisa kwamba Mungu amezungumza licha ya kutambua amezungumza nini!
Unahitaji kutoka hapo ulipo kiroho, umekwama au umekwamishwa kiroho. Ulimwengu wa kiroho upo na unafanya kazi kwa ufanisi na usahihi usioelezeka. Tafuta watu ambao kweli ni watumishi wa Mungu Mwenyezi na uwaeleze shida yako nao watakuombea na kukusaidia '"Kutoka" hapo ulipo. Nawe kuanzia sasa anza kuzungumza na Mungu kama unavyozungumza na yule unayemheshimu sana, mwambie kila kitu, kila shida yako na mwombe specifically unachotaka akufanyie ukitaja tatizo lako barabara na kumwambia unataka afanye nini hasa. Fanya hivyo bila kuchoka ama kuona aibu kila wakati. Fuatilia matokeo yake na pia andika uombacho na tarehe, fuatilia maombi yako kwa imani, Mungu si mwanadamu ili asahau au ashindwe kukujibu, atakujibu tu, kuwa mwangalifu akizungumza umsikie kwani ndipo tatizo kubwa la mwanadamu; wengi hawasikii Mungu anapozungumza! Atazungumza na kukujibu kila kitu, fuatilia kwa uangalifu mkubwa, Mungu ni mwaminifu mno na hujibu kila ombi!
Kama una maswali zaidi nitakusaidia zaidi, tuwasiliane. Nimekuwa katika hali kama hii naifahamu vizuri na ninaendelea kutoka kwa kasi kubwa kila siku.
Asante mkuu ushauri wako nitaufanyia kaziUkiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.
Chunguza maisha yako vizuri unakuta kuna mambo haya yafuatayo:
Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita, na umekwamishwa kiroho kuvuka na kwenda kwenye nafasi yako ya ukubwa au mafanikio.
- umekuwa ukikwama katika mambo yako kila wakati
- unaishi nyuma ya wakati wako; yaani ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo
- huridhiki na maendeleo yako pamoja na kuwa na elimu kubwa na ujunzi mzuri
- ulikuwa unafanya vizuri darasani lakini maendeleo yako sasa hayalingani na kipaji chako
- umekuwa na ambitions za kitaaluma lakini hujaweza kuzifikia
Hivyo basi unapaswa kuchunguza maisha yako. Angalia historia ya familia yako, baba, mama, kaka na dada zako, je nao wapo kwenye hali ya kuchelewa maishani?
Unahitaji kuondolewa hapo ulipokwama kiroho kabla hujachelewa mno. Inategemea imani yako ilivyo lakini haijalishi pia, kwani Mungu huongea kila wakati na kila mtu kwa namna yake ikiwa ni pamoja na kupitia ndoto. Ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatutambui kabisa kwamba Mungu amezungumza licha ya kutambua amezungumza nini!
Unahitaji kutoka hapo ulipo kiroho, umekwama au umekwamishwa kiroho. Ulimwengu wa kiroho upo na unafanya kazi kwa ufanisi na usahihi usioelezeka. Tafuta watu ambao kweli ni watumishi wa Mungu Mwenyezi na uwaeleze shida yako nao watakuombea na kukusaidia '"Kutoka" hapo ulipo. Nawe kuanzia sasa anza kuzungumza na Mungu kama unavyozungumza na yule unayemheshimu sana, mwambie kila kitu, kila shida yako na mwombe specifically unachotaka akufanyie ukitaja tatizo lako barabara na kumwambia unataka afanye nini hasa. Fanya hivyo bila kuchoka ama kuona aibu kila wakati. Fuatilia matokeo yake na pia andika uombacho na tarehe, fuatilia maombi yako kwa imani, Mungu si mwanadamu ili asahau au ashindwe kukujibu, atakujibu tu, kuwa mwangalifu akizungumza umsikie kwani ndipo tatizo kubwa la mwanadamu; wengi hawasikii Mungu anapozungumza! Atazungumza na kukujibu kila kitu, fuatilia kwa uangalifu mkubwa, Mungu ni mwaminifu mno na hujibu kila ombi!
Kama una maswali zaidi nitakusaidia zaidi, tuwasiliane. Nimekuwa katika hali kama hii naifahamu vizuri na ninaendelea kutoka kwa kasi kubwa kila siku.
inawezekana maana hali yangu ya kiuchumi haifanani kabisa na vile ilivotakiwaSio ndoto nzuri. Inamaanisha kukwama au kurudi nyumba kwa mambo yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetekwa kwa namna fulani fanya haraka sana kutoka hapo, watu wanafaidika na wewe, msukule sio lazima atoweke wengi wanaishi na ni watu wa kawaida sana ila hawajui kinachoendelea nyuma ya pazia, wahi ndugu!inawezekana maana hali yangu ya kiuchumi haifanani kabisa na vile ilivotakiwa
Huyu ni mimi kabisa, nitazingatia huu ushauriUkiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.
Chunguza maisha yako vizuri unakuta kuna mambo haya yafuatayo:
Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita, na umekwamishwa kiroho kuvuka na kwenda kwenye nafasi yako ya ukubwa au mafanikio.
- umekuwa ukikwama katika mambo yako kila wakati
- unaishi nyuma ya wakati wako; yaani ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo
- huridhiki na maendeleo yako pamoja na kuwa na elimu kubwa na ujunzi mzuri
- ulikuwa unafanya vizuri darasani lakini maendeleo yako sasa hayalingani na kipaji chako
- umekuwa na ambitions za kitaaluma lakini hujaweza kuzifikia
Hivyo basi unapaswa kuchunguza maisha yako. Angalia historia ya familia yako, baba, mama, kaka na dada zako, je nao wapo kwenye hali ya kuchelewa maishani?
Unahitaji kuondolewa hapo ulipokwama kiroho kabla hujachelewa mno. Inategemea imani yako ilivyo lakini haijalishi pia, kwani Mungu huongea kila wakati na kila mtu kwa namna yake ikiwa ni pamoja na kupitia ndoto. Ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatutambui kabisa kwamba Mungu amezungumza licha ya kutambua amezungumza nini!
Unahitaji kutoka hapo ulipo kiroho, umekwama au umekwamishwa kiroho. Ulimwengu wa kiroho upo na unafanya kazi kwa ufanisi na usahihi usioelezeka. Tafuta watu ambao kweli ni watumishi wa Mungu Mwenyezi na uwaeleze shida yako nao watakuombea na kukusaidia '"Kutoka" hapo ulipo. Nawe kuanzia sasa anza kuzungumza na Mungu kama unavyozungumza na yule unayemheshimu sana, mwambie kila kitu, kila shida yako na mwombe specifically unachotaka akufanyie ukitaja tatizo lako barabara na kumwambia unataka afanye nini hasa. Fanya hivyo bila kuchoka ama kuona aibu kila wakati. Fuatilia matokeo yake na pia andika uombacho na tarehe, fuatilia maombi yako kwa imani, Mungu si mwanadamu ili asahau au ashindwe kukujibu, atakujibu tu, kuwa mwangalifu akizungumza umsikie kwani ndipo tatizo kubwa la mwanadamu; wengi hawasikii Mungu anapozungumza! Atazungumza na kukujibu kila kitu, fuatilia kwa uangalifu mkubwa, Mungu ni mwaminifu mno na hujibu kila ombi!
Kama una maswali zaidi nitakusaidia zaidi, tuwasiliane. Nimekuwa katika hali kama hii naifahamu vizuri na ninaendelea kutoka kwa kasi kubwa kila siku.
Mimi hiz ndoto ni mara kwa mara na huwa najikuta kwenye kipindi cha mitihani na nakuwa naona mtihani mwepesi sana. Pia nimekuwa nikiota hii ndoto kma vile nimerudi secondary seminary. Hii ndoto huenda mbele zaidi hadi naota et nasimikwa kuwa padre wakati sitaki.Nimekua na teswa mara kwa mara na ndoto kama yako mkuu.. Na mara nyingine nipo kabisa kwenye chumba cha mtian ila sijasoma chochote.. Mwenye ujuzi wa maswala ya ndoto atusaidie
Hakuna kitu kama kutangulia au kuchelewa maishani!Ukiota mazingira ya shule, upo na ma classmates wa siku nyingi zilizopita, mfano unaota upo katika mazingira ya shule yako ya msingi na upo na wanafunzi mliosoma nao wakati ule pengine imepita miaka mingi inamaanisha kwamba kuna kitu cha kiroho kinachoendelea katika maisha yako kinachohusiana na mambo ya siku zilizopita.
Chunguza maisha yako vizuri unakuta kuna mambo haya yafuatayo:
Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita, na umekwamishwa kiroho kuvuka na kwenda kwenye nafasi yako ya ukubwa au mafanikio.
- umekuwa ukikwama katika mambo yako kila wakati
- unaishi nyuma ya wakati wako; yaani ulipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo ulipo
- huridhiki na maendeleo yako pamoja na kuwa na elimu kubwa na ujunzi mzuri
- ulikuwa unafanya vizuri darasani lakini maendeleo yako sasa hayalingani na kipaji chako
- umekuwa na ambitions za kitaaluma lakini hujaweza kuzifikia
Hivyo basi unapaswa kuchunguza maisha yako. Angalia historia ya familia yako, baba, mama, kaka na dada zako, je nao wapo kwenye hali ya kuchelewa maishani?
Unahitaji kuondolewa hapo ulipokwama kiroho kabla hujachelewa mno. Inategemea imani yako ilivyo lakini haijalishi pia, kwani Mungu huongea kila wakati na kila mtu kwa namna yake ikiwa ni pamoja na kupitia ndoto. Ila tatizo ni kwamba wengi wetu hatutambui kabisa kwamba Mungu amezungumza licha ya kutambua amezungumza nini!
Unahitaji kutoka hapo ulipo kiroho, umekwama au umekwamishwa kiroho. Ulimwengu wa kiroho upo na unafanya kazi kwa ufanisi na usahihi usioelezeka. Tafuta watu ambao kweli ni watumishi wa Mungu Mwenyezi na uwaeleze shida yako nao watakuombea na kukusaidia '"Kutoka" hapo ulipo. Nawe kuanzia sasa anza kuzungumza na Mungu kama unavyozungumza na yule unayemheshimu sana, mwambie kila kitu, kila shida yako na mwombe specifically unachotaka akufanyie ukitaja tatizo lako barabara na kumwambia unataka afanye nini hasa. Fanya hivyo bila kuchoka ama kuona aibu kila wakati. Fuatilia matokeo yake na pia andika uombacho na tarehe, fuatilia maombi yako kwa imani, Mungu si mwanadamu ili asahau au ashindwe kukujibu, atakujibu tu, kuwa mwangalifu akizungumza umsikie kwani ndipo tatizo kubwa la mwanadamu; wengi hawasikii Mungu anapozungumza! Atazungumza na kukujibu kila kitu, fuatilia kwa uangalifu mkubwa, Mungu ni mwaminifu mno na hujibu kila ombi!
Kama una maswali zaidi nitakusaidia zaidi, tuwasiliane. Nimekuwa katika hali kama hii naifahamu vizuri na ninaendelea kutoka kwa kasi kubwa kila siku.
Maana yake upo shuleni Unapimwa ili kuandaliwa kwa hatua inayofuata kimaisha,Omba Mungu akusaidie kuvuka ufaulu hatua inayofuata.Hebu chukulia imepita miaka takribani 15 au 20 kabisa toka uhitimu masomo ya ngazi flani mfano: elimu ya sekondari au chuo
Lakini ghafla siku za karibuni unaota ndoto umerudi tena masomoni tena sio kwa kuanza upya ni katikati ya muhula wanafunzi wenzako wakiwa tayari wamesoma topiki nyingi kuliko wewe na mmebakiza mwezi mmoja kwa ajili ya kufanya mtihani wa mwisho
Nieleweshen ndoto kama hii huwa ina maana gani katika maisha yako halisi