Habari zenu wakuu. Mwenzenu apa nna ndoto za kuwa airline Pilot japo tanzania hatujawa na kampuni zenye kumiliki boeing na airbus (itoe fastjet mana si yetu). Tatizo kipato kinanizuia maana cost za kusomea zinafika ama kupita milioni 100. Sasa nlikuwa na wazo la kupitia jeshini ili nipate mafunzo ya urubani. Naombeni munipe taratibu inakuaje mpaka unakuwa admitted katika kikosi cha anga. Mikiki ya jeshini itanitesa kwani na ka pumu kananisumbuaga kwenye kazi nzito. (Pumu haimzuii mtu kuwa pilot)