ukishapata no.4 ki msingi utaruhusiwa kurusha (big boys),mipipa mikubwa kama ndoto yako inavyotaka la muhimu hapa tafuta flying school za kawaida hapa hapa bongo kwa ajili ya namba 1. kuanzia namba mbili utaingia mikataba na makampuni popote pale ambao utakuwa unafanya kazi kwao na huku unachanga masaa ktk log book yako,then kuanzia hapo inakuwa rahisi kupata mfadhili kwa ajili ya kusomea aina ya ndege unayotaka kuirusha.kitu ambacho hutakisahau ktk maisha yako ya urubani ni the second effect of control hii ukipass wewe lazima utakuwa rubani tu.