Ndoto ya 'Masikini' haina mpangilio

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Ukweli ni kwamba, ndoto ya masikini siku zote hazinaga mpangilio mzuri, unaweza lala ukaota unamiliki banda la kuku, lakini baada ya muda mchache banda hilohilo la kuku linakukimbiza.

Huja kaa sawa unaota upo mgodini huku ukiwa na kiroba cha dhahabu, hukutaka kujua hatma ya ndoto ya kiroba cha dhahabu unastukia unafukuzwa na kondoo kubwa hatari.

Yaan ili mradi tu iwe taflani, kwakweli muda mwingine hatutaman hata kuota hizi ndoto
 
😝😝😝😝😝
Daaaa JF mwishooo
Au unaota unaendesha Gari, unaamka kitanda kipo jikoni
 
masikini hata usingizi wake wa mang'amung'amu
 
Ndoto zangu zote za sasa zinaanza na kuwa na mwisho.
 
Haya masikini mukuje kujadiri mambo yenu, matajiri tuna mkutano huku tukiwa na bango letu kuuuuubwa likisomeka MATAJIRI TUNAKUTANA.
 
Maskini unalala kabisa na usingizi unakuja hadi unaota??
 
hakuna ndoto inakuwag tamu kama ile ya kutoa haja ndogo au kuanguka kwenye korongo aisee πŸ˜‹
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Nimecheka mbayaa Mkuu, sio mbaya mana niko Peka angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…