RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Nimeota tumeenda nyikani mi na rafiki yangu mmoja ambaye simkumbuki vizuri ila nakumbuka kama alikuja kunipitia ninapokaa
Tukaenda porini/nyikani mbali kidogo na tunapoishi mara tukawaona sungura tukavutiwa kuwakamata na tukaanza kuwafuatilia
Ili tuwakamate,ghafla tukamuona mbwa mwitu kwa mbali anakuja mwelekeo wa kijiji tunakoishi na ndio tulikotoka
Tukaanza kukimbia ili kumuwahi yule mbwa mwitu kabla hajafika kijijini ili kuwastua wanakijiji wenzetu kujilinda ili wasizulike na yule mbwa mwitu tuliprofika karibu na kijiji tulikuwa tunapiga kelele nyingi za kuwaambia pandeni juu ya miti ,pandeni juu ya miti mbwa mwitu anakuja ,wachache walielewa chap walipanda wengine walikuwa wazito kuelewa mapema
Mbwa mwitu alipotukalibia tulikuwa tushafika kijijini mi nililukia juu ya mti na watu wengine walinifuata kwenye mti
Niliopanda wakapanda matawi mengine hadi yakaelemewa na mbwa mwitu alikuwa ameshafika na kuanza kushambulia watu ndipo wanakijiji wakajitoa muhanga kupambana naye kwa silaha na wengine wakiwa bila silaha,katika kupambana na uyo mbwa mwitu
Kuna jamaa namkumbuka kwa sura kama ali nilikuwa nasoma naye primary yeye akajitoa muhanga akampiga roba ya mkono mbwa mwitu
Kitu kilichopelekea ali kushabuliwa sana kichwani na mbwa mwitu ila akumuacha mbwa mwitu,nilivyomwangalia ali kichwani
Nililia sana ila ali alifariki pale pale akiwa shingoni mwa mbwa mwitu na mbwa mwitu akiwa amekufa
msiba wa ali watu walijaa sana kwa sababu ni shujaa na mi nilikuwepo nililia sana.
Iyo ndoto ina maanisha nini wakuu?
Tukaenda porini/nyikani mbali kidogo na tunapoishi mara tukawaona sungura tukavutiwa kuwakamata na tukaanza kuwafuatilia
Ili tuwakamate,ghafla tukamuona mbwa mwitu kwa mbali anakuja mwelekeo wa kijiji tunakoishi na ndio tulikotoka
Tukaanza kukimbia ili kumuwahi yule mbwa mwitu kabla hajafika kijijini ili kuwastua wanakijiji wenzetu kujilinda ili wasizulike na yule mbwa mwitu tuliprofika karibu na kijiji tulikuwa tunapiga kelele nyingi za kuwaambia pandeni juu ya miti ,pandeni juu ya miti mbwa mwitu anakuja ,wachache walielewa chap walipanda wengine walikuwa wazito kuelewa mapema
Mbwa mwitu alipotukalibia tulikuwa tushafika kijijini mi nililukia juu ya mti na watu wengine walinifuata kwenye mti
Niliopanda wakapanda matawi mengine hadi yakaelemewa na mbwa mwitu alikuwa ameshafika na kuanza kushambulia watu ndipo wanakijiji wakajitoa muhanga kupambana naye kwa silaha na wengine wakiwa bila silaha,katika kupambana na uyo mbwa mwitu
Kuna jamaa namkumbuka kwa sura kama ali nilikuwa nasoma naye primary yeye akajitoa muhanga akampiga roba ya mkono mbwa mwitu
Kitu kilichopelekea ali kushabuliwa sana kichwani na mbwa mwitu ila akumuacha mbwa mwitu,nilivyomwangalia ali kichwani
Nililia sana ila ali alifariki pale pale akiwa shingoni mwa mbwa mwitu na mbwa mwitu akiwa amekufa
msiba wa ali watu walijaa sana kwa sababu ni shujaa na mi nilikuwepo nililia sana.
Iyo ndoto ina maanisha nini wakuu?