Emma Mnyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 201
- 183
Ni nini unafikiria, unapanga kufanya au kumiliki kwa wakati was baadae?
Kwa kuanza, mm nafikiria/ Nina ndoto zifuatazo.
@ before age of 26 yrs old
-shamba/ mashamba jumla ya ekari zisizopungua 100. Nikifanya kilimo cha umwagiliaji.
-Nyumba ya ndoto yangu.
@ before age of 35 yrs
-kumiliki ekari zisizopungua 500 huku nikifanya kilimo cha umwagiliaji.
- Ku supply chakula mikoani na nchi jirani (kibiashara) pia kutoa msaada wa chakula kwa wahanga wa chakula.ndani na nje ya nchi.
@before age of 45
-nimiliki kiwanja cha michezo sanasana mpira wa miguu.
*kwa sasa mawazo yangu yote ni kilimo tu, nitapopata elimu na ujuzi mwingine nitaongeza matarajio mengine.
*Naomba Mungu asimamie ndoto zangu.
Ww je ndoto zako ni zipi?? Karibu
Kwa kuanza, mm nafikiria/ Nina ndoto zifuatazo.
@ before age of 26 yrs old
-shamba/ mashamba jumla ya ekari zisizopungua 100. Nikifanya kilimo cha umwagiliaji.
-Nyumba ya ndoto yangu.
@ before age of 35 yrs
-kumiliki ekari zisizopungua 500 huku nikifanya kilimo cha umwagiliaji.
- Ku supply chakula mikoani na nchi jirani (kibiashara) pia kutoa msaada wa chakula kwa wahanga wa chakula.ndani na nje ya nchi.
@before age of 45
-nimiliki kiwanja cha michezo sanasana mpira wa miguu.
*kwa sasa mawazo yangu yote ni kilimo tu, nitapopata elimu na ujuzi mwingine nitaongeza matarajio mengine.
*Naomba Mungu asimamie ndoto zangu.
Ww je ndoto zako ni zipi?? Karibu