Jamani katika hali ya kushangaza leo nimeota ndoto dr slaa kawa rais 2015 afu kamteua rev mtikila kuwa waziri mkuu, afu mwakyembe waziri wa sheria, magufuli waziri wa maadili na utawala bora, zitto kabwe waziri wa nishati na madini, john mnyika waziri wa habari na michezo, pinda katibu mkuu kiongozi,
tibaijuka makazi na mazingira, prof luhanga elimu. Hakuna naibu waziri na wizara zingine nimezisahau.
Kama kuna mwenye mawazo pls
tibaijuka makazi na mazingira, prof luhanga elimu. Hakuna naibu waziri na wizara zingine nimezisahau.
Kama kuna mwenye mawazo pls