tundu lissu wizara ya sheria na katiba
afu mtikila wizara ya viwanda na biashara ili awatimue ma*********
Tundu lissu wizara ya sheria na katiba
afu mtikila wizara ya viwanda na biashara ili awatimue ma*********
Mkuu Sikonge nimekupata vilivyo na uko sahihiMwakyembe HAFAI kufanya kazi zilizo karibu na Wananchi wasio wasomi.
Huyu anafaa zaidi kwenye maeneo kama East Africa Parlament, SADC, uandishi wa mikataba nk......
Uwezo wake mkubwa sana na anatumika vibaya. Hana KIPAJI cha kufanyakazi na Wasio wasomi.
Jamani katika hali ya kushangaza leo nimeota ndoto dr slaa kawa rais 2015 afu kamteua rev mtikila kuwa waziri mkuu, afu mwakyembe waziri wa sheria, magufuli waziri wa maadili na utawala bora, zitto kabwe waziri wa nishati na madini, john mnyika waziri wa habari na michezo, pinda katibu mkuu kiongozi,
tibaijuka makazi na mazingira, prof luhanga elimu. Hakuna naibu waziri na wizara zingine nimezisahau.
Kama kuna mwenye mawazo pls
Sahihisha ni RA hamtaki ...Njozi....watanzania hawamtaki huyo mtu..mpeleke akawe rais nyumbani kwako.