Ndoto yangu ni kumiliki biashara ya simu baada ya kuuza mpunga wangu

Ndoto yangu ni kumiliki biashara ya simu baada ya kuuza mpunga wangu

Young fadson

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2017
Posts
1,177
Reaction score
1,406
Wadau naomba msaada namna bora ya kuanza biashara hii, nianze na bidhaa gani maana simu na assessories ndo ndoto kubwa,

Ombi langu kwa wazoefu ,ni kupata taarifa kuhusu bidhaa ipi itapush ndoto zangu kwa speed ili niweze kuzifikia ndoto mapema.

Tathmin yangu ni kuanza na mtaji mdogo wa million 5 ili niweze kuwa familiar na soko ndo niongeze nguvu ya mtaji.
 
Wadau naomba msaada namna bora ya kuanza biashara hii, nianze na bidhaa gani maana simu na assessories ndo ndoto kubwa,

Ombi langu kwa wazoefu ,ni kupata taarifa kuhusu bidhaa ipi itapush ndoto zangu kwa speed ili niweze kuzifikia ndoto mapema.

Tathmin yangu ni kuanza na mtaji mdogo wa million 5 ili niweze kuwa familiar na soko ndo niongeze nguvu ya mtaji.
Amcheki Hornet akupe mwongozo na machimbo ya Wachina kariakoo uchukue mzigo mkubwa wanakochukulia wakongwe wa hii biashara.
Akihitaj ushauri akuje ni kitu nina knowledge nacho na sifanyii kazi
Hornet unaweza mwaga madini hapa kwenye thread, na sisi wengine tukanufaika.
 
Amcheki Hornet akupe mwongozo na machimbo ya Wachina kariakoo uchukue mzigo mkubwa wanakochukulia wakongwe wa hii biashara.

Hornet unaweza mwaga madini hapa kwenye thread, na sisi wengine tukanufaika.
Kama utaweza kutupa info zaidi kwa faida ya wengi ingekua pouwa sana, coz kuna watu tuna capital ila bado hatujafanya maamuzi
Ok kwanza kuna njia mbili

Ya kwanza ni kujumua mzigo kariakoo ukauza kwa faida

Na ya pili ni kuagiza mzigo China,

Hapa nazungumzia accesories ikiwemo, cover, protectors, charger, earphone n.k

Angalia simu ambazo zinatumika zaidi eneo lako ndo uagize vifaa vyake.

Kuagiza china shipping imekua rahisi nowdays unapokea mzigo wako ndani ya siku 30 kama hakutakua na delay kwa supplier(tumia silent ocean) hii faida yake ni kubwa zaidi ilaa inafaa mtaji uwe angalau 6M ili ukiagiza 2m
After 2weeks unaagiza tena 2M then wakat unapokea unaagiza tena

Kwa hivyo unakua haukaukiw na mzigo.

Upande wa cover inafaa ujitahidi kuchukua ambazo siyo za fashion ili mzigo ukifika usikute fashion imepita, chukua zile zinauzika kipindi chote cha mwaka.

Kama una swali unaweza niuliza.
 
Ok kwanza kuna njia mbili

Ya kwanza ni kujumua mzigo kariakoo ukauza kwa faida

Na ya pili ni kuagiza mzigo China,

Hapa nazungumzia accesories ikiwemo, cover, protectors, charger, earphone n.k

Angalia simu ambazo zinatumika zaidi eneo lako ndo uagize vifaa vyake.

Kuagiza china shipping imekua rahisi nowdays unapokea mzigo wako ndani ya siku 30 kama hakutakua na delay kwa supplier(tumia silent ocean) hii faida yake ni kubwa zaidi ilaa inafaa mtaji uwe angalau 6M ili ukiagiza 2m
After 2weeks unaagiza tena 2M then wakat unapokea unaagiza tena

Kwa hivyo unakua haukaukiw na mzigo.

Upande wa cover inafaa ujitahidi kuchukua ambazo siyo za fashion ili mzigo ukifika usikute fashion imepita, chukua zile zinauzika kipindi chote cha mwaka.

Kama una swali unaweza niuliza.
Muongezee,vitu anavyoagiza/kujumua inategemeana na aina ya wateja aliotarget kuwauzia accessories zina quality hilo asisahau
 
Ok kwanza kuna njia mbili

Ya kwanza ni kujumua mzigo kariakoo ukauza kwa faida

Na ya pili ni kuagiza mzigo China,

Hapa nazungumzia accesories ikiwemo, cover, protectors, charger, earphone n.k

Angalia simu ambazo zinatumika zaidi eneo lako ndo uagize vifaa vyake.

Kuagiza china shipping imekua rahisi nowdays unapokea mzigo wako ndani ya siku 30 kama hakutakua na delay kwa supplier(tumia silent ocean) hii faida yake ni kubwa zaidi ilaa inafaa mtaji uwe angalau 6M ili ukiagiza 2m
After 2weeks unaagiza tena 2M then wakat unapokea unaagiza tena

Kwa hivyo unakua haukaukiw na mzigo.

Upande wa cover inafaa ujitahidi kuchukua ambazo siyo za fashion ili mzigo ukifika usikute fashion imepita, chukua zile zinauzika kipindi chote cha mwaka.

Kama una swali unaweza niuliza.
Kwa mtu mwenye capital ya 20m, anaweza akaingia k.koo na akaweza ku survive kwenye hii biashara ya simu, au bado mtaji mdogo
 
Kwa mtu mwenye capital ya 20m, anaweza akaingia k.koo na akaweza ku survive kwenye hii biashara ya simu, au bado mtaji mdogo
Kariakoo hamna cha mtaji mdogo
Unahitaji
Correct Informations only.

Hiyo hela inatosha kabisa ukiamua kuchukua kigoli ama meza za kushare
 
Ok kwanza kuna njia mbili

Ya kwanza ni kujumua mzigo kariakoo ukauza kwa faida

Na ya pili ni kuagiza mzigo China,

Hapa nazungumzia accesories ikiwemo, cover, protectors, charger, earphone n.k

Angalia simu ambazo zinatumika zaidi eneo lako ndo uagize vifaa vyake.

Kuagiza china shipping imekua rahisi nowdays unapokea mzigo wako ndani ya siku 30 kama hakutakua na delay kwa supplier(tumia silent ocean) hii faida yake ni kubwa zaidi ilaa inafaa mtaji uwe angalau 6M ili ukiagiza 2m
After 2weeks unaagiza tena 2M then wakat unapokea unaagiza tena

Kwa hivyo unakua haukaukiw na mzigo.

Upande wa cover inafaa ujitahidi kuchukua ambazo siyo za fashion ili mzigo ukifika usikute fashion imepita, chukua zile zinauzika kipindi chote cha mwaka.

Kama una swali unaweza niuliza.
Napata changamoto namna bora ya ku specify swali, kwani sijaanza na shida yangu ni kujua napoamua kuanza walau nianze na bidhaa zipi ili kua na mwendelezo mzuri, kwa dsm chimbo ya wachina nazijua vp pia,

binafsi npo mwanza sina ujuzi lakin dream ni kufanya biashara ambayo bei ya kuchukulia mzigo inakua haijulikani kwa mteja wangu
 
Ok kwanza kuna njia mbili

Ya kwanza ni kujumua mzigo kariakoo ukauza kwa faida

Na ya pili ni kuagiza mzigo China,

Hapa nazungumzia accesories ikiwemo, cover, protectors, charger, earphone n.k

Angalia simu ambazo zinatumika zaidi eneo lako ndo uagize vifaa vyake.

Kuagiza china shipping imekua rahisi nowdays unapokea mzigo wako ndani ya siku 30 kama hakutakua na delay kwa supplier(tumia silent ocean) hii faida yake ni kubwa zaidi ilaa inafaa mtaji uwe angalau 6M ili ukiagiza 2m
After 2weeks unaagiza tena 2M then wakat unapokea unaagiza tena

Kwa hivyo unakua haukaukiw na mzigo.

Upande wa cover inafaa ujitahidi kuchukua ambazo siyo za fashion ili mzigo ukifika usikute fashion imepita, chukua zile zinauzika kipindi chote cha mwaka.

Kama una swali unaweza niuliza.
Hapo unaweza kumpoteza kwa sasa simu hasa vitochi na accessories zinaagizwa kila leo na Ma Giant ktk Soko...Bora aanze kwa kujumua Kariakoo au mkoa aliopo kulingana na Trend iliyopo kuliko kukurupuka kuagiza kwanza kisha akipata uzoefu ndio aanze kuagiza...
 
Back
Top Bottom