Ndoto za ajabu Maishani Mwangu

Ndoto za ajabu Maishani Mwangu

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,932
Reaction score
4,544
Wakuu salam,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nikiwa na rais wa Korea Kaskazini na katika ndoto hiyo rais huyo ni rafiki yangu mkubwa sana, nimekuwa nikiota ndoto nikiwa na marais wa mataifa tofauti duniani kwa miaka zaidi ya nane iliyopita, niliwahi kuota nikiwa na rais George Bush ndani ya Air Force One, marais wote wa Tanzania nimeota nikiwa nao, Obama ni mara tatu zaidi naota nikiwa nae, nisingependa kuelezea marais wote duniani niliowahi kuota nipo nao, ila kwa kweli ndoto hizi zinanishangaza sana.

Sijawahi katika maisha yangu kuwaza kuwa mwanasisa wa aina yoyote ile, kati ya ndoto iliyonishangaza kuliko zote ni ile niliyoota kuwa nipo na rais (namhifadhi jina na taifa kwa sababu maalumu) akinyenyekea mbele yangu ili nimpatie ushauri maana kwake mambo ni mazito, jamani hii ni mara ya pili naleta kwenu huu uzi, watalamu wa ndoto tafadhali mnisaidie, nilipouleta uzi huu mara ya kwanza wengi walichangia kwa kunikejeli sana, ndio maana nimehamia jukwaa hili linalotembelewa na intelligents zaidi.

Nasubiri mchango wa hekima
 
Wakuu salam,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nikiwa na rais wa Korea Kaskazini na katika ndoto hiyo rais huyo ni rafiki yangu mkubwa sana, nimekuwa nikiota ndoto nikiwa na marais wa mataifa tofauti duniani kwa miaka zaidi ya nane iliyopita, niliwahi kuota nikiwa na rais George Bush ndani ya Air Force One, marais wote wa Tanzania nimeota nikiwa nao, Obama ni mara tatu zaidi naota nikiwa nae, nisingependa kuelezea marais wote duniani niliowahi kuota nipo nao, ila kwa kweli ndoto hizi zinanishangaza sana.

Sijawahi katika maisha yangu kuwaza kuwa mwanasisa wa aina yoyote ile, kati ya ndoto iliyonishangaza kuliko zote ni ile niliyoota kuwa nipo na rais (namhifadhi jina na taifa kwa sababu maalumu) akinyenyekea mbele yangu ili nimpatie ushauri maana kwake mambo ni mazito, jamani hii ni mara ya pili naleta kwenu huu uzi, watalamu wa ndoto tafadhali mnisaidie, nilipouleta uzi huu mara ya kwanza wengi walichangia kwa kunikejeli sana, ndio maana nimehamia jukwaa hili linalotembelewa na intelligents zaidi.

Nasubiri mchango wa hekima
Unaota ukiwa na wanaume wenzio...nakushauri ubadili nickname yako isomeke hivi..>>>WISE GIRL
 
Wakuu salam,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nikiwa na rais wa Korea Kaskazini na katika ndoto hiyo rais huyo ni rafiki yangu mkubwa sana, nimekuwa nikiota ndoto nikiwa na marais wa mataifa tofauti duniani kwa miaka zaidi ya nane iliyopita, niliwahi kuota nikiwa na rais George Bush ndani ya Air Force One, marais wote wa Tanzania nimeota nikiwa nao, Obama ni mara tatu zaidi naota nikiwa nae, nisingependa kuelezea marais wote duniani niliowahi kuota nipo nao, ila kwa kweli ndoto hizi zinanishangaza sana.

Sijawahi katika maisha yangu kuwaza kuwa mwanasisa wa aina yoyote ile, kati ya ndoto iliyonishangaza kuliko zote ni ile niliyoota kuwa nipo na rais (namhifadhi jina na taifa kwa sababu maalumu) akinyenyekea mbele yangu ili nimpatie ushauri maana kwake mambo ni mazito, jamani hii ni mara ya pili naleta kwenu huu uzi, watalamu wa ndoto tafadhali mnisaidie, nilipouleta uzi huu mara ya kwanza wengi walichangia kwa kunikejeli sana, ndio maana nimehamia jukwaa hili linalotembelewa na intelligents zaidi.

Nasubiri mchango wa hekima
Ulimuota Obama bado ungemuota na waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Cameron ingekua poa sana
 
Ulimuota Obama bado ungemuota na waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Cameron ingekua poa sana
huyo jamaa akienda ughaibuni atatutia aibu watanzania.....utackia kachumbiwa na wakat hata mahali hatujapewa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Yaani mtu yupo serious watu wanajibi majibu ya utani na kejeli acheni hizo
 
Hizo ndoto zina maana na zimebeba ujumbe ndo maana zinajirudia!

Soma ayubu33:14-18

Hao marais wametumika kuonyesha kuwa we sio mtu wa kawaida,km alivyosema The Boss hapo juu!

Destiny yako we ni mtu ambae utahitajika sehem fulani fulani..we sio wa level za chini km unajiona hivyo badirika!

Bt muombe Mungu sana tu,ili ufikie kusudi hilo alilokuonyesha!

Na kuanzia leo mshukuru Mungu,usiite tena ndoto za ajabu mkuu!
Ni maono hayo,Mungu anasema na ww
 
Wakuu salam,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nikiwa na rais wa Korea Kaskazini na katika ndoto hiyo rais huyo ni rafiki yangu mkubwa sana, nimekuwa nikiota ndoto nikiwa na marais wa mataifa tofauti duniani kwa miaka zaidi ya nane iliyopita, niliwahi kuota nikiwa na rais George Bush ndani ya Air Force One, marais wote wa Tanzania nimeota nikiwa nao, Obama ni mara tatu zaidi naota nikiwa nae, nisingependa kuelezea marais wote duniani niliowahi kuota nipo nao, ila kwa kweli ndoto hizi zinanishangaza sana.

Sijawahi katika maisha yangu kuwaza kuwa mwanasisa wa aina yoyote ile, kati ya ndoto iliyonishangaza kuliko zote ni ile niliyoota kuwa nipo na rais (namhifadhi jina na taifa kwa sababu maalumu) akinyenyekea mbele yangu ili nimpatie ushauri maana kwake mambo ni mazito, jamani hii ni mara ya pili naleta kwenu huu uzi, watalamu wa ndoto tafadhali mnisaidie, nilipouleta uzi huu mara ya kwanza wengi walichangia kwa kunikejeli sana, ndio maana nimehamia jukwaa hili linalotembelewa na intelligents zaidi.

Nasubiri mchango wa hekima
Anza kusali
 
Wakuu salam,
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto nikiwa na rais wa Korea Kaskazini na katika ndoto hiyo rais huyo ni rafiki yangu mkubwa sana, nimekuwa nikiota ndoto nikiwa na marais wa mataifa tofauti duniani kwa miaka zaidi ya nane iliyopita, niliwahi kuota nikiwa na rais George Bush ndani ya Air Force One, marais wote wa Tanzania nimeota nikiwa nao, Obama ni mara tatu zaidi naota nikiwa nae, nisingependa kuelezea marais wote duniani niliowahi kuota nipo nao, ila kwa kweli ndoto hizi zinanishangaza sana.

Sijawahi katika maisha yangu kuwaza kuwa mwanasisa wa aina yoyote ile, kati ya ndoto iliyonishangaza kuliko zote ni ile niliyoota kuwa nipo na rais (namhifadhi jina na taifa kwa sababu maalumu) akinyenyekea mbele yangu ili nimpatie ushauri maana kwake mambo ni mazito, jamani hii ni mara ya pili naleta kwenu huu uzi, watalamu wa ndoto tafadhali mnisaidie, nilipouleta uzi huu mara ya kwanza wengi walichangia kwa kunikejeli sana, ndio maana nimehamia jukwaa hili linalotembelewa na intelligents zaidi.

Nasubiri mchango wa hekima

Very interesting!
but i'm curious to know ulipokutana na rais wa korea mlikuwa mnaongea lugha gani?
 
Mi naota napiga saruti sijui ndo ntakuwa police ssm
 
Back
Top Bottom