Sossy Mwasi
Senior Member
- Jul 19, 2015
- 190
- 23
Tafuta msaada wa kiroho haraka. Kama wewe ni mslam tafuta kiongozi wako wa kiroho. Kama ni mkrito vile vile mtafute kiongozi wako wa kiroho akuombee ufunguke. Majini mahaba ni mabaya sana uharibu maisha ya watu hata kupelekea kifo. Mwombe sana mungu akuondolee pepo hilo. Uharibu. Ndoa. Maisha. Afya. Na nk.
akili yako inawaza ngono tu wewe ndo sababu