Ndoto za wanaobet punde tu baada ya kutengeneza mkeka

Ndoto za wanaobet punde tu baada ya kutengeneza mkeka

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
134076002_14266383630731n.jpg



Hakika akili ile huwa ni ya kiwango cha phD ambapo mbetiji hakosei kabisa kupanga mpangilio wa mambo atakayofanya kama mkeka wake ukitiki:

Mimi nikibet huwa natengeneza mkeka unaanzia million 35 kwa 500 tu na kabla hata timu haijaanza kucheza huwa nawaza mambo mengi nitakayoyafanya kupitia hela hiyo kama nikiipata

Mfano wa mambo ambayo huwa nayawaza ni :
  • Kununua nyumba
  • kununua gari
  • Kuoa msichana mzuri kushinda wote huku UKONGA
  • Kujiendeleza Kielimu
  • Kuwasaidia ndugu,jamaa na marafiki
  • Kuwa mtu wa starehe
  • Kumtolea mungu sadaka
  • Kuwa mtu wa Pamba za kisasa zaidi
Na mambo mengi mno huwa nayaweka kwenye orodha.Na kumbuka kwa wakati huo nina karatasi tu nililotengenezea Mkeka Premier Bet

Hakika tunaobeti tuna akili sana ya maisha ila tu wachawi wengi wamejificha kwenye mkeka

Wewe mwanaJF ambaye huwezi pitisha siku bila kubet huwa unawaza mambo gani utayatimiza kama mkeka wako ukitiki?
 
Nilibeti siku moja tu walichukua 5000 yangu toka hapo nirifuta m,bet yao na wala siitamani acha niendelee kulizika na haka kamia 2 ninakokapata kwa jasho
 
Nilijilaumu sana na nilishaapa siji ludia na siji ludia kweli
 
Huu mchezo wa bet unatuharibu kisaikolojia sana,watu wengi wanakuwa wapenda shortcut tu
 
134076002_14266383630731n.jpg



Hakika akili ile huwa ni ya kiwango cha phD ambapo mbetiji hakosei kabisa kupanga mpangilio wa mambo atakayofanya kama mkeka wake ukitiki:

Mimi nikibet huwa natengeneza mkeka unaanzia million 35 kwa 500 tu na kabla hata timu haijaanza kucheza huwa nawaza mambo mengi nitakayoyafanya kupitia hela hiyo kama nikiipata

Mfano wa mambo ambayo huwa nayawaza ni :
  • Kununua nyumba
  • kununua gari
  • Kuoa msichana mzuri kushinda wote huku UKONGA
  • Kujiendeleza Kielimu
  • Kuwasaidia ndugu,jamaa na marafiki
  • Kuwa mtu wa starehe
  • Kumtolea mungu sadaka
  • Kuwa mtu wa Pamba za kisasa zaidi
Na mambo mengi mno huwa nayaweka kwenye orodha.Na kumbuka kwa wakati huo nina karatasi tu nililotengenezea Mkeka Premier Bet

Hakika tunaobeti tuna akili sana ya maisha ila tu wachawi wengi wamejificha kwenye mkeka

Wewe mwanaJF ambaye huwezi pitisha siku bila kubet huwa unawaza mambo gani utayatimiza kama mkeka wako ukitiki?
M-bet washakula tujero twangu sana
 
Back
Top Bottom