kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Baada ya miaka 6 mbele nitamiliki restaurent 6 za milioni 40 katika nchi mbali mbali hapa East Africa
Uganda, Tanzania, Kenya, DRC, Burundi, na Rwanda
Na RESTAURENT zangu zote zitaitwa jina moja la ANABEL na logo yake ni alama ya vidole 2 juu tukutane mwezi wa 4 2023 Dar es Salaam
Siri ya mafanikio ni kutafuta pesa kwa bidii
Na kuweka Record nzuri benki ili siku ukiwa na wazo lako la biashara benki waweze kukukopesha pesa ili utimize ndoto yako
Wewe endelea kupenda wanawake mwisho utaishia kutuita mafreemason bure na wakati wenzako hatulali kisa Kutafuta pesa
Uganda, Tanzania, Kenya, DRC, Burundi, na Rwanda
Na RESTAURENT zangu zote zitaitwa jina moja la ANABEL na logo yake ni alama ya vidole 2 juu tukutane mwezi wa 4 2023 Dar es Salaam
Siri ya mafanikio ni kutafuta pesa kwa bidii
Na kuweka Record nzuri benki ili siku ukiwa na wazo lako la biashara benki waweze kukukopesha pesa ili utimize ndoto yako
Wewe endelea kupenda wanawake mwisho utaishia kutuita mafreemason bure na wakati wenzako hatulali kisa Kutafuta pesa