Unazungumzia ndoto au malengo?Baada ya miaka 6 mbele nitamiliki restaurent 6 za milioni 40 katika nchi mbali mbali hapa East Africa...
Baada ya miaka 6 mbele nitamiliki restaurent 6 za milioni 40 katika nchi mbali mbali hapa East Africa
Uganda, Tanzania, Kenya, drc, burundi, na Rwanda...
Ulipokosea ni hapo kupangia watu cha kufanya! Una uhakika kila mtu anataka kuwa tajiri? 😃😃😃 Wewe piga kazi ukijenga sawa, mwenzio akilewa sawa lakini maswala ya kufanikiwa ukaanza kutupiga madongo eti tunapenda wanawake huo ni unafiki!Baada ya miaka 6 mbele nitamiliki restaurent 6 za milioni 40 katika nchi mbali mbali hapa East Africa
Uganda, Tanzania, Kenya, drc, burundi, na Rwanda...
We kufanikiwa sahauBaada ya miaka 6 mbele nitamiliki restaurent 6 za milioni 40 katika nchi mbali mbali hapa East Africa
Uganda, Tanzania, Kenya, DRC, Burundi, na Rwanda
Na RESTAURENT zangu zote zitaitwa jina moja la ANABEL na logo yake ni alama ya vidole 2 juu tukutane mwezi wa 4 2023 Dar es Salaam
Siri ya mafanikio ni kutafuta pesa kwa bidii
Na kuweka Record nzuri bank ili siku ukiwa na wazo lako la biashara benk waweze kukukopesha pesa ili utimize ndoto yako
Wewe endelea kupenda wanawake mwisho utaishia kutuita mafreemason bure na wakati wenzako hatulali kisa Kutafuta pesa