maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Shikamooni wakubwa zangu, wadogo zangu na ambao tupo sawa habari zenu?
Mimi kama kijana wa kitanzania mwenye miaka chini ya 30 sioni ata dalili moja ya kuja kufikia ndoto zangu may be kwa sababu nisha kata tamaa kutokana na kuongozwa na mfanyakazi kwa miaka hii kadhaa
Ila nna swali moja kwa vijana wezangu kama sio mawili ambayo mkinipa majibu mema huenda mkawa mmenifungua maana bado nipo utumwani kifikra
swali la kwanza: kipi kinakufanya uamini ya kua utafanikiwa?
pili:na kama ukifanikiwa utafanikiwa kupitia nini?
Mimi nmekata tamaa kutokana na aina ya kazi nnayo fanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama kijana wa kitanzania mwenye miaka chini ya 30 sioni ata dalili moja ya kuja kufikia ndoto zangu may be kwa sababu nisha kata tamaa kutokana na kuongozwa na mfanyakazi kwa miaka hii kadhaa
Ila nna swali moja kwa vijana wezangu kama sio mawili ambayo mkinipa majibu mema huenda mkawa mmenifungua maana bado nipo utumwani kifikra
swali la kwanza: kipi kinakufanya uamini ya kua utafanikiwa?
pili:na kama ukifanikiwa utafanikiwa kupitia nini?
Mimi nmekata tamaa kutokana na aina ya kazi nnayo fanya
Sent using Jamii Forums mobile app