maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Mm sijachoka,nipe siri ya mafanikio mkuuukichoka kukata tamaa n-tag nije nkupe siri ya mafanikio
ni siri ila kwa kifupi, we tafuta pesa tuu.
hakuna siri ya mafanikioukichoka kukata tamaa n-tag nije nkupe siri ya mafanikio
siri ya mafanikio ipo, ndo mana kuna waliofankiwa(wameijua siri ya mafanikio) na wasiofanikiwa(hawajaijua siri ya mafanikio)
Mkuu watu wengi wanafanikiwa kimaisha kwa kuiba (namaanisha sio ujambazi) na katika mafanikio yao ukiwauliza hawawezi kusema waliiba.