Ndoto zina maana yoyote?

Ndoto zina maana yoyote?

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
22,527
Reaction score
79,976
Habari za usiku wakuu,

Nimetoka kazini jioni ya leo

Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita

Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
 
Habari za usiku wakuu,

Nimetoka kazini jioni ya leo
Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita

Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
1. Ndoto zingine hutokana na mawazo tu au kazi nyingi

2. Ndoto za vifo, au kuwa shuleni au kufukuzwa na wanyama wakali...hapa kuna tatizo.

Note; ndoto hutegemea na muotaji.

Mimi kama nimeota ndoto ya kweli itakayotokea huwa ninaamka na huxuni sana na hii imenitokea mara nyingi na matokeo huwa ni 100%
 
Habari za usiku wakuu,

Nimetoka kazini jioni ya leo

Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita

Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
Nimeota niko na Reginald Mengi, tuko na Lusajo Mwaisaka, Robo Cop, nimeshika kitabu, kimeandikwa 66, basi, nikamwambia Mengi kesho nitakuwa na miaka 6, basi kesho yake 10/03 akaja amevaa ngongoti, kuna muda akapoteza balance, akataka kuanguka, nikamuwahi kuzuia asianguke. Akasema yupo vizuri, nikamwambia ni lazima uende Hospitali. Akaliachia fumbo ndefu na kibakuli cha DHAHABU.

CC:-
sajjo
 
. Ubongo unatabia ya kutunza kumbukumbu mkuu,

. Ila mda mwingine kuota mtu aliye Kufa siyo vizuri kabisa. ( kuna ndugu yangu alifariki nilimuota kila siku zaidi ya miezi 10.. 🥺 🥺 ), nilipata tabu sana kisaikolojia.
 
1. Ndoto zingine hutokana na mawazo tu au kazi nyingi

2. Ndoto za vifo, au kuwa shuleni au kufukuzwa na wanyama wakali...hapa kuna tatizo.

Note; ndoto hutegemea na muotaji.

Mimi kama nimeota ndoto ya kweli itakayotokea huwa ninaamka na huxuni sana na hii imenitokea mara nyingi na matokeo huwa ni 100%

Mimi sijawa na mawazo wala kazi nyingi leo
 
Nimeota niko na Reginald Mengi, tuko na Lusajo Mwaisaka, Robo Cop, nimeshika kitabu, kimeandikwa 66, basi, nikamwambia Mengi kesho nitakuwa na miaka 6, basi kesho yake 10/03 akaja amevaa ngongoti, kuna muda akapoteza balance, akataka kuanguka, nikamuwahi kuzuia asianguke. Akasema yupo vizuri, nikamwambia ni lazima uende Hospitali. Akaliachia fumbo ndefu na kibakuli cha DHAHABU.

CC:-
sajjo

Heri wewe unayekumbuka ndoto hivi
Mimi nimemuota mara kadhaa wiki hizi lakini sikumbuki nimemuota anafanya ama tunafanya nini 😥
 
Back
Top Bottom