Wanajamvi
Kwanini ukinywa pombe alafu ukalala hauoti ndoto, ila ukivuta bange unaota?
Ukivuta bangi sio kwamba unaota, bali yale matendo unayofanya unahisi km unaoota while in real sense yanakuwa ni matendo halisi, bangi ikiisha ndio utahisi km ulikuwa unaota