Ndugai anatafuta nini?

Ndugai anatafuta nini?

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
 
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
133.-(1) Spika atakoma kushika nafasi ya madaraka ya Spika
litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a) atachaguliwa kuwa Mbunge;
(b) kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika,
lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze
sifa za uchaguzi wa Spika;

(c) ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa Azimio la
Bunge lililoungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao
haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;

(d) atashindwa kuwasilisha tamko rasmi kuhusiana na mali na
madeni yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(e) atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa
kiapo kinyume cha sheria kuhusu tamko rasmi lolote
lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(f) atashindwa kuwasilisha taarifa ya mali kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa
kwa ajili hiyo;
(g) itathibitika kuwa amevunja masharti ya sheria inayohusu
maadili ya uongozi wa umma; au
(h) kufariki dunia.
(2) Isipokuwa shughuli ya kumchagua Spika, hakuna shughuli
yoyote itakayotekelezwa katika Bunge wakati wowote ambao nafasi ya
madaraka ya Spika itakuwa wazi.
 
Huyu hana lolote
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
 
133.-(1) Spika atakoma kushika nafasi ya madaraka ya Spika
litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a) atachaguliwa kuwa Mbunge;
(b) kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika,
lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze
sifa za uchaguzi wa Spika;

(c) ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa Azimio la
Bunge lililoungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao
haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;

(d) atashindwa kuwasilisha tamko rasmi kuhusiana na mali na
madeni yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(e) atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa
kiapo kinyume cha sheria kuhusu tamko rasmi lolote
lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(f) atashindwa kuwasilisha taarifa ya mali kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa
kwa ajili hiyo;
(g) itathibitika kuwa amevunja masharti ya sheria inayohusu
maadili ya uongozi wa umma; au
(h) kufariki dunia.
(2) Isipokuwa shughuli ya kumchagua Spika, hakuna shughuli
yoyote itakayotekelezwa katika Bunge wakati wowote ambao nafasi ya
madaraka ya Spika itakuwa wazi.
Hapo hapo kwenye kuwasilisha habari za uongo kuhusu mali anazomiliki,, hapo hapo yaani... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati huwa unatoa majibu sahihi,tuupe wakati muda utatujibu
 
133.-(1) Spika atakoma kushika nafasi ya madaraka ya Spika
litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a) atachaguliwa kuwa Mbunge;
(b) kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika,
lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze
sifa za uchaguzi wa Spika;

(c) ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa Azimio la
Bunge lililoungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao
haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;

(d) atashindwa kuwasilisha tamko rasmi kuhusiana na mali na
madeni yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(e) atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa
kiapo kinyume cha sheria kuhusu tamko rasmi lolote
lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(f) atashindwa kuwasilisha taarifa ya mali kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa
kwa ajili hiyo;
(g) itathibitika kuwa amevunja masharti ya sheria inayohusu
maadili ya uongozi wa umma; au
(h) kufariki dunia.
(2) Isipokuwa shughuli ya kumchagua Spika, hakuna shughuli
yoyote itakayotekelezwa katika Bunge wakati wowote ambao nafasi ya
madaraka ya Spika itakuwa wazi.
Kipengele "e" pekee kinatosha
133.-(1) Spika atakoma kushika nafasi ya madaraka ya Spika
litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a) atachaguliwa kuwa Mbunge;
(b) kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika,
lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze
sifa za uchaguzi wa Spika;

(c) ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa Azimio la
Bunge lililoungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao
haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;

(d) atashindwa kuwasilisha tamko rasmi kuhusiana na mali na
madeni yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(e) atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa
kiapo kinyume cha sheria kuhusu tamko rasmi lolote
lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(f) atashindwa kuwasilisha taarifa ya mali kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa
kwa ajili hiyo;
(g) itathibitika kuwa amevunja masharti ya sheria inayohusu
maadili ya uongozi wa umma; au
(h) kufariki dunia.
(2) Isipokuwa shughuli ya kumchagua Spika, hakuna shughuli
yoyote itakayotekelezwa katika Bunge wakati wowote ambao nafasi ya
madaraka ya Spika itakuwa wazi.
Vipengele vyote vinamuondoa uspika isipokuwa cha mwisho kwa kuwa bado yupo hai
 
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
Umetumia mda wako kweli wa kusikiliza alichoongea ndungai, au ndio nyie mnalukia tu story na kutolea andiko.
 
Umetumia mda wako kweli wa kusikiliza alichoongea ndungai, au ndio nyie mnalukia tu story na kutolea andiko.
Ngoja aendelee ^kulukia^ stori tu, huyo mpinzani wa ^Ndungai^ Aisee, nchi yetu bado ina safari ndefu sana. Nadhani tumeanza kukaribia mwishoni mwa hatua ya awali kabisa miongoni mwa hatua kumi za maendeleo.
 
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
Hakika Ndugai yuko vizuri sana, sema tu watanzania wengi ni mkumbo tu
 
133.-(1) Spika atakoma kushika nafasi ya madaraka ya Spika
litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(a) atachaguliwa kuwa Mbunge;
(b) kutatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Spika,
lingemfanya mtu huyo asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze
sifa za uchaguzi wa Spika;

(c) ataondolewa kwenye madaraka ya Spika kwa Azimio la
Bunge lililoungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao
haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote;

(d) atashindwa kuwasilisha tamko rasmi kuhusiana na mali na
madeni yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(e) atapatikana na hatia kwa kosa la kutoa habari za uongo, kwa
kiapo kinyume cha sheria kuhusu tamko rasmi lolote
lililotolewa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;
(f) atashindwa kuwasilisha taarifa ya mali kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii kabla ya kumalizika muda uliowekwa
kwa ajili hiyo;
(g) itathibitika kuwa amevunja masharti ya sheria inayohusu
maadili ya uongozi wa umma; au
(h) kufariki dunia.
(2) Isipokuwa shughuli ya kumchagua Spika, hakuna shughuli
yoyote itakayotekelezwa katika Bunge wakati wowote ambao nafasi ya
madaraka ya Spika itakuwa wazi.
Kwenye kipengele (b) panamfaa maana aloshasema mwenyewe ana faili mahali Fulani.
 
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
Kupatikana Kwa katiba mpya ya wananchi, iliyona maoni ya watanzania wote , ambao mchakato wake ilikwamishwa njiani ni tiba mujarabu kwa matatizo yanayolikabili taifa yanayochochewa na wachache .
 
Kila mmoja mwenye akili timamu amepatwa na mshangao jinsi kiongozi huyu wa muhimili muhimu wa bunge kubadilika ghafla. Tanzania tuna bahati mbaya kupata kiongozi mnafiki kwenye uongozi wa juu kama bunge. Huyu mtanzania mwenzetu ana kibuli sana kama alivyokuwa Godfather wake. Nikikumbuka alivyomdhalilisha professor Assad machozi huwa yananitoka. Mambo anayoongea leo ndugai kama changamoto kwa taifa yamepita bungeni ambapo yeye ndio kiongozi wa mijadala. Ndugai ameharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu leo anaongea. Kubadilika kwa ndugai kuna walakini either hana maelewano mazuri na Rais wa sasa au anatafuta umaarufu wa kisiasa ili uwe mtaji wake kwenye kugombea presidential post 2025
Huyo "Bulai" tokea Mwendazake aende zake, amevurugwa kwelikweli.

Hivi unategemea Rais Samia ataweza kuidhinisha zaidi ya TShs bilioni 2 kwa matibabu ya mtu binfsi kama alivyofanya Mwendazake??
 
Back
Top Bottom