Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
wao kwanini wanajiita waheshimiwa?Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Kwanini wao wanajiita waheshimiwa? wana nini so special?Na Daktari , engineer, na cpa unawazungumziaje? Wanaitwa hivyo ili kukidhi matakwa ya professions zao na kujitofautisha na vihiyo, kumbuka hata hii ya learned brother ni heshima tu, ila mchakato wake ni mrefu, kwa upande mwingine hivyo basi na wabunge nap wasiitwe “ waheshimiwa”... ni mjadara wa kijinga sana aliouanzisha, sijui kama hili nalo ni moja ya jukumu alilotumwa na wapiga wake...
Unawezaje kupiga story na mtu kwenye infirioty complex, na tena anayemtetea Mbowe mitandaoni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu inferiority complex inakusumbua sana ha ha ha ha....
Tajiri unashinda mitandaoni kumtetea mh.Mbowe ha ha ha ha nikija kulala hotelini kwako nitakuja kupiga stori nawe.....
Mgonjwa ghali zaidi Duniani Naona bado hajapona.Hivi alitibiwa kwa bilioni ngapi vileKiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania , sasa sijui shida iko wapi , yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani !
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Ulikuwa ni ushauri wa ajabu ajabu sana toka kwa huyu speaker... wabunge na sasa wajadiri mambo waliyotumwa na wapiga Kura wao, hili la Wakili msomi sidhani kama ni mojawapo...Kwanini wao wanajiita waheshimiwa? wana nini so special?
Hizi episodes tamu sanaKiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania, sasa sijui shida iko wapi, yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani!
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh. Spika Ndugai yuko sahihi sana
Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga
Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?
Kwanini tutangulize "wakili msomi"?
Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi [emoji106][emoji123][emoji123]
MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH. SPIKA JOB NDUGAI, AMEEN AMEEN [emoji120]
#NchiKwanza
#SiempreJMT
Kuna na hii hunishangaza mtu eti anajiita nfano CPA Jumbe, Engineer Jumbe huku hata kutemgeneza mtaro hajui na hivo vyeo huwa vya proud and arrogance wakati ku deliver vitu ni sifuri. Kwa hili namuunga mkono ndugaiMh. Spika Ndugai yuko sahihi sana
Ameamua kuivunja minyororo ya mazoea ya kijinga
Mathalani hivi ni nani awezaye kuwa WAKILI bila ya kusoma?
Kwanini tutangulize "wakili msomi"?
Namuunga mkono Spika wetu Mtunduizi [emoji106][emoji123][emoji123]
MWENYEZI MUNGU AMBARIKI NA KUMLINDA MH. SPIKA JOB NDUGAI, AMEEN AMEEN [emoji120]
#NchiKwanza
#SiempreJMT
Huyo mzee anachuki binafsi ni mtu wa hovyo snUlikuwa ni ushauri wa ajabu ajabu sana toka kwa huyu speaker... wabunge na sasa wajadiri mambo waliyotumwa na wapiga Kura wao, hili la Wakili msomi sidhani kama ni mojawapo...
Hoja wazitoe wapi hao.Hawana kitu chochote kichwani ndo maana wanakimbilia kuattack mtu na mambo ya kijinga.unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?
Zamani Jf hii uzushi ulikuwa unakupa ban , sasa hivi sijui kimetokea nini , ila nakufunza kwamba humu jf unachotakiwa kuhangaika nacho ni hoja tu , usijihangaishe na mtoa hoja iwe kwa kufuata mkumbo au kujituma mwenyewe , utadhalilika vibaya sana na utajua hujui , be careful
Kama vile nisivyoelewa kwa nini wabunge wanatulazimisha tuwaite waheshimiwa wakati kuna wengi tu wasiostahili heshima! Heshima hailazimishwi.Kiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania, sasa sijui shida iko wapi, yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani!
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Pole sana. Ukweli ni kuwa JF imebadilika sana. Sasa hivi imekuwa kawaida watu kutumia lugha za matusi ya nguoni. Nadhani imekaa kibiashara zaidi ya wakati wa awali.unaweza kuthibitisha kwanza kama mimi ni mwanamke , pili kama ni mke wa mbunge wa zamani unayemjua ?
Zamani Jf hii uzushi ulikuwa unakupa ban , sasa hivi sijui kimetokea nini , ila nakufunza kwamba humu jf unachotakiwa kuhangaika nacho ni hoja tu , usijihangaishe na mtoa hoja iwe kwa kufuata mkumbo au kujituma mwenyewe , utadhalilika vibaya sana na utajua hujui , be careful
Tangu juzi nimesema humu wasipomwahisha murembe kuna siku atavua nguo mbele yao ndii watajua kuwa zinazidi kupoteaKiukweli kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona spika duni kama spika wa bunge la Tanzania, sasa sijui shida iko wapi, yaani anaona wivu hadi anakonda kwa Wanasheria kujiita "WANASHERIA WASOMI" kiasi cha kuanzisha mada bungeni ya kujadili jambo hili yaani!
Tutarajie muswada wa kufuta huo usomi hivi karibuni
View attachment 1920289
Ukiacha avatar yangu, jina langu si feki meku.
Hata watu wa nje hawapendi kujikweza na ma title ka huku bongo mara bossi, mara Prof, mara Dr mara engineer, hivo vyote wanavopenda ni watu hawajiamini na wapenda ma pride, iweje watu wa nje iwe nadra hata kufahanu title zao ingawa wamefanya makubwaRicha ya kwamba huyu jamaa huwa namuona chenga,ila ana hoja nzito.
Kuna umuhimu gani wa kuitwa "msomi"
Wakati wewe tayari ni msomi?hayo matitle si unayo kwenye CV yako?
Kibongo bongo,kuitwa kwa title watu huona ufahari kwa sababu ya low self esteem,mtu kama Mwigulu na PHD yake ya kuunga unga hasemi kitu mpaka aseme Mimi Dokta wa uchumi,wakati kichwa kimejaa ma theory matupu.
Deputy president wa Kenya,William Ruto ni PHD holder,lakini huwezi kusikia akitumia DR Ruto