Ndugai shughulika na Tanesco Wanakata umeme hovyo pasipo ratiba Kibaigwa achana na malumbano ya mikopo ya nchi

Ndugai shughulika na Tanesco Wanakata umeme hovyo pasipo ratiba Kibaigwa achana na malumbano ya mikopo ya nchi

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Wanabodi salaam,
Nianze kwakusema natambua maelekezo tunayopewa kwamba nchi yetu inakumbwa na tatizo la umeme kutokana utegemezi wa umeme wa maji na kwa sasa nchi imekumbwa na hali ya ukame hivyo kuathiri upatikanaji wa umeme maeneo mengi nchini.

Hata hivyo kinachoendelea kwenye Jimbo la mh Ndugai ni tofauti kwani tulitarajia kuwe na ratiba kwenye kukatika kwa umeme na wananchi waelezwe ratiba hio.

Kibaigwa umeme unakatika mithiri ya mtu anaechezea swichi,umeme kwa kutwa unaweza katika na kurudishwa hata mara 12 kwa siku kitu ambacho utagundua tatizo ni Tanesco sio ukame.

Kama tatizo ni ukame,umeme ungekatwa kwa ratiba iliokuwa wazi kwa wananchi wote.

Tafadhari mh Ndugai tunaomba tusaidie kufuatilia hili,mambo ya mikopo ya nchi muachie Samia.
 
Figisu zinaanza ili msimchague
 
Wanabodi salaam,
Nianze kwakusema natambua maelekezo tunayopewa kwamba nchi yetu inakumbwa na tatizo la umeme kutokana utegemezi wa umeme wa maji na kwa sasa nchi imekumbwa na hali ya ukame hivyo kuathiri upatikanaji wa umeme maeneo mengi nchini.

Hata hivyo kinachoendelea kwenye Jimbo la mh Ndugai ni tofauti kwani tulitarajia kuwe na ratiba kwenye kukatika kwa umeme na wananchi waelezwe ratiba hio.

Kibaigwa umeme unakatika mithiri ya mtu anaechezea swichi,umeme kwa kutwa unaweza katika na kurudishwa hata mara 12 kwa siku kitu ambacho utagundua tatizo ni Tanesco sio ukame.

Kama tatizo ni ukame,umeme ungekatwa kwa ratiba iliokuwa wazi kwa wananchi wote.

Tafadhari mh Ndugai tunaomba tusaidie kufuatilia hili,mambo ya mikopo ya nchi muachie Samia.
Kila aliyeshangilia 17/3/2021 atafikiwa kwa wakati wake.

Tulieni dawa iwaingie
 
Wanabodi salaam,
Nianze kwakusema natambua maelekezo tunayopewa kwamba nchi yetu inakumbwa na tatizo la umeme kutokana utegemezi wa umeme wa maji na kwa sasa nchi imekumbwa na hali ya ukame hivyo kuathiri upatikanaji wa umeme maeneo mengi nchini.

Hata hivyo kinachoendelea kwenye Jimbo la mh Ndugai ni tofauti kwani tulitarajia kuwe na ratiba kwenye kukatika kwa umeme na wananchi waelezwe ratiba hio.

Kibaigwa umeme unakatika mithiri ya mtu anaechezea swichi,umeme kwa kutwa unaweza katika na kurudishwa hata mara 12 kwa siku kitu ambacho utagundua tatizo ni Tanesco sio ukame.

Kama tatizo ni ukame,umeme ungekatwa kwa ratiba iliokuwa wazi kwa wananchi wote.

Tafadhari mh Ndugai tunaomba tusaidie kufuatilia hili,mambo ya mikopo ya nchi muachie Samia.
Kwa hiyo statements za wahuni unaziamini na kuanza kuzipigia promo hapa?

Ukamamee, ukame!

Maneno kama hayo yanawapa uhalali washenzi kufisidi nchi.

Wanaohusika na hayo mabwawa walishatolea matamko kitambo kukanusha.

Tukataeni kuzibeba hoja za wapigadili zinazotolewa kwa kauli nyepesi.

Hata hivyo Mbunge anahusikaje na masuala ambayo yapo chini ya wizara yenye Waziri?

Kutokana na dhulma za kiuwajibikaji za namna hiyo wanazofanyiwa wananchi, huyo kiongozi anayehusika asingeliendelea kuvumiliwa hadi leo kwa nafasi aliyonayo bila ya kuwajibishwa.
 
Wanabodi salaam,
Nianze kwakusema natambua maelekezo tunayopewa kwamba nchi yetu inakumbwa na tatizo la umeme kutokana utegemezi wa umeme wa maji na kwa sasa nchi imekumbwa na hali ya ukame hivyo kuathiri upatikanaji wa umeme maeneo mengi nchini.

Hata hivyo kinachoendelea kwenye Jimbo la mh Ndugai ni tofauti kwani tulitarajia kuwe na ratiba kwenye kukatika kwa umeme na wananchi waelezwe ratiba hio.

Kibaigwa umeme unakatika mithiri ya mtu anaechezea swichi,umeme kwa kutwa unaweza katika na kurudishwa hata mara 12 kwa siku kitu ambacho utagundua tatizo ni Tanesco sio ukame.

Kama tatizo ni ukame,umeme ungekatwa kwa ratiba iliokuwa wazi kwa wananchi wote.

Tafadhari mh Ndugai tunaomba tusaidie kufuatilia hili,mambo ya mikopo ya nchi muachie Samia.

601EC439-2CCB-4EA6-8712-B1E99DADF5C6.jpeg
 
Wanabodi salaam,
Nianze kwakusema natambua maelekezo tunayopewa kwamba nchi yetu inakumbwa na tatizo la umeme kutokana utegemezi wa umeme wa maji na kwa sasa nchi imekumbwa na hali ya ukame hivyo kuathiri upatikanaji wa umeme maeneo mengi nchini.

Hata hivyo kinachoendelea kwenye Jimbo la mh Ndugai ni tofauti kwani tulitarajia kuwe na ratiba kwenye kukatika kwa umeme na wananchi waelezwe ratiba hio.

Kibaigwa umeme unakatika mithiri ya mtu anaechezea swichi,umeme kwa kutwa unaweza katika na kurudishwa hata mara 12 kwa siku kitu ambacho utagundua tatizo ni Tanesco sio ukame.

Kama tatizo ni ukame,umeme ungekatwa kwa ratiba iliokuwa wazi kwa wananchi wote.

Tafadhari mh Ndugai tunaomba tusaidie kufuatilia hili,mambo ya mikopo ya nchi muachie Samia.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Tanesco mna vituko
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Kwa ukatikaji huu wa umeme unataka namba zangu za simu za nini?Nimekwambia umeme unakatika hovyo mji mzima kibaigwa,ingalikua nimelalamika nyumba yangu umeme umekatika sawa ungekuwa sahihi kuhitaji namba yangu ya simu,
Fuatilieni kinachoendelea Kibaigwa mjini ni vituko.
 
Back
Top Bottom