Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Kimsingi mzee Butiku amesema tue na ujasiri wa kukubali makosa ili tuwe na ujasiri vile vile wawa kuyasahihisha.Swala la kina Mdee nimeona tangazo la Kipindi cha Dakika 45 (ITV) likiongelewa na Mzee Butiku, natamani niangalie nione busara zake Mzee juu ya sakata hili. Mzee Msekwa aliliongelea ila Bwana yule kaendelea kushupaza shingo yako..
Kwanza, yapo hawa wabunge waliobatizwa 'Covid-19' kuna taarifa kwamba wengine wala sio wanachama wa Chadema, bali walikusanywa tu ni ndugu au watu wa karibu na hao unaowaita 'viongozi wengi'. Ukweli ni kwamba hili la hawa 'wabunge' limeonyesha kuwa hii nchi imejaa 'walafi"!Mkuu tatizo ni deeper zaidi.
Na linawahusisha viongozi wengi ingawaje mwenye dhamana ya kukubali kosa ni Ndugai.
Forgery ya matokeo ya Uchaguzi mwaka 2020, haya ndio matkeo yake.
Wajamaa kwa kibali cha Mwendazake wali forge matokeo YOOOTE bila kutilia maanani kuwa kuna vyeo kikatiba ndani ya Bunge inabidi viongozwe na upinzani.
Hili sakata la kina Mdee ni mkakati huo wa kuendelea kuforge matokeo, ambayo kiukweli CHADEMA haihusiki.
Huhitaji kuoma degree kuelewa hilo.
Hivi ni kwa nini CHADEMA hawalichukui swala hili mahakamani?Barua aliyoonyesha Ndugai ni kusema kuwa wakina Halima wamefukuzwa uanachama wa Chadema ambayo ilimchukua muda mrefu kukiri kuwa aliipokea. Nakala ilipelekwa NEC. NEC nao waliandikiwa barua kuwataarifu kuwa Chadema haijawateua wakina Halima Mdee kuwakilisha chama chao kama wabunge wa viti maalum. NEC kimyaaaa. NEC na Spika wangetoa nakala za barua na fomu za uteuzi kutoka Chadema, mchezo wote ungeisha na wakina Halima wangetambuliwa kuwa ni wabunge halali. Ukimya wao unaonyesha kuwa ama hawana barua yeyote ya uteuzi au wanajua waliyokuwa nayo ni ya kughushi.
Ukimtuhumu mtu kuwa ni mwizi basi atafanya kila jitihada kuthibitisha kuwa unamsingizia. Akikaa kimya hata baada ya wewe kutangazia mtaa mzima kuwa ni mwizi wako ujue kuwa kweli ni mwizi. Na akisema anangoja umpeleke polisi ndio ajitetee ndio kabisa.
Huu mpira uko kwa Spika na NEC. Chadema wamemaliza ngwe yao. Wanachoweza kufanya wakina Halima ni kwenda kwa Msajili wa vyama kama walivyoenda wakina Silinde baada ya kufukuzwa na wakina Bulaya. Msajili wa Vyama bila hiyana atawarudishia uanachama wao. Lakini swali la msingi litabaki pale pale. Nani aliandika barua kwenda NEC ya uteuzi wao?
Amandla...
Hamna kufungua kesi wala kupeleka vielelezo zaidi kwa matakwa yake binafsi, awang'ang'anie tu ili aendelee kushambuliwa hadi ajitambue, kwa kuwa hana utetezi wowote wa kuwaweka bungeni!Nani anapaswa kubaisnisha ni za kugushi kati ya ndugai au chadema?
Na kama ndugai anahusika kughushi kwa nini chadema wasifungue kesi juu ya hilo?
Chadema mara ngapi wamekuwa wakifungua kesi kudai haki zao, ila hili limewashinda kufungua kwa kipi?
Jiulize swali hilo?
1hawajui mahakama zilipo?
2hawana pesa za kufungua kesi?
3hawana mwanasheria wa kuwasimamia hiyo kesi?
Baada ya hapo ukikosa majibu, nasibujue kuna shida chadema.
Nadhani walikuwa wanafungua wakati tulipokuwa na mahakama. Tangu marehemu alipofuta mahakama na Bunge, kwenda mahakamani ni kupoteza muda.Nani anapaswa kubaisnisha ni za kugushi kati ya ndugai au chadema?
Na kama ndugai anahusika kughushi kwa nini chadema wasifungue kesi juu ya hilo?
Chadema mara ngapi wamekuwa wakifungua kesi kudai haki zao, ila hili limewashinda kufungua kwa kipi?
Jiulize swali hilo?
1hawajui mahakama zilipo?
2hawana pesa za kufungua kesi?
3hawana mwanasheria wa kuwasimamia hiyo kesi?
Baada ya hapo ukikosa majibu, nasibujue kuna shida chadema.
Wafungue kesi kwa nani wakati baada ya uchaguzi ilitolewa Mahakama yoyote ambayo siyo ya Tanzania haiwezi kusikiliza kesi za uchaguzi,na mwendazake alipanga safu yake ya upumbavu kuanzia mahakama,bunge,polisi na idara nyingine.Nani anapaswa kubaisnisha ni za kugushi kati ya ndugai au chadema?
Na kama ndugai anahusika kughushi kwa nini chadema wasifungue kesi juu ya hilo?
Chadema mara ngapi wamekuwa wakifungua kesi kudai haki zao, ila hili limewashinda kufungua kwa kipi?
Jiulize swali hilo?
1hawajui mahakama zilipo?
2hawana pesa za kufungua kesi?
3hawana mwanasheria wa kuwasimamia hiyo kesi?
Baada ya hapo ukikosa majibu, nasibujue kuna shida chadema.
kweli kabisa.Mkuu tatizo ni deeper zaidi.
Na linawahusisha viongozi wengi ingawaje mwenye dhamana ya kukubali kosa ni Ndugai.
Forgery ya matokeo ya Uchaguzi mwaka 2020, haya ndio matokeo yake.
Wajamaa(Tume na maDED) kwa kibali cha Mwendazake wali forge matokeo YOOOTE bila kutilia maanani kuwa kuna vyeo kikatiba ndani ya Bunge inabidi viongozwe na upinzani.
Hili sakata la kina Mdee ni mkakati huo wa kuendelea kuforge matokeo, ambayo kiukweli CHADEMA haihusiki.
Huhitaji kusoma degree kuelewa hilo.
Mahakama za wapi?? Hizi hizi za Magufuri na ccm?Hivi ni kwa nini CHADEMA hawalichukui swala hili mahakamani?
Ndugai ni fedheha kwa kiti anachokikalia. Kuna siku atasema "Hivi kweli ni mimi niliyewapokea wabunge hawa waliouwa wamefukuzwaKatika jambo hili Ndugai tunamdai kwani tumemkinai kwa ulaghai.
Sio wajibu wao. Pia wanajua wakienda Mahakamani suala zima lizazungushwa mpaka 2025 na litawaondolea uwajibikaji Spika na NEC ambao watasema hawawezi kuchukua hatua kwa kitu kilicho Mahakamani.Hivi ni kwa nini CHADEMA hawalichukui swala hili mahakamani?
Usemayo ni kweli, unafahamu yakuwa hamna aliyetaka tume huru kipindi cha jiwe kama mkapa, lakini alipokuwa madarakani hakuiunda!Ndugai ni fedheha kwa kiti anachokikalia. Kuna siku atasema "Hivi kweli ni mimi niliyewapokea wabunge hawa waliouwa wamefukuzwa
na chama chao? Inawezekana nilikuwa usingizini"!!
Katiba ya jamhuri inasemaje juu ya sifa ya mbunge???? Wale wa cuf mbona hapakuwa na maneno manenoHiy
Hiyo barua imepita tume ya uchaguzi kupinga na pia kwa msajili kuonyesha utaratibu waliotumia kuwafukuza hao wabunge kama sheria ya chama chao inavyotaka?
Kwa nini chadema hawataki.kuheshimu katiba yao huku wanataka wengite waheshibu katiba?
Unajua kuna sheria ilipitishwa 2019 ya vyama vya siasa au unajitoa ufahamu bwashee.Katiba ya jamhuri inasemaje juu ya sifa ya mbunge???? Wale wa cuf mbona hapakuwa na maneno maneno
Katiba ndiyo sheria mama acha taarabu zako za ndugai hapaU
Unajua kuna sheria ilipitishwa 2019 ya vyama vya siasa au unajitoa ufahamu bwashee.