Uchaguzi 2020 Ndugu Emmanuel Kwayu, ajitosa Ubunge Jimbo la Hai kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Ndugu Emmanuel Kwayu, ajitosa Ubunge Jimbo la Hai kupitia CCM

activist

Senior Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
180
Reaction score
281
Ndugu EMMANUEL KWAYU, mkurugenzi mkuu wa kampuni ya dolphin sea and air amejitosa kugombea ubunge jimbo la Hai kupitia chama cha mapinduzi. Jimbo hilo lilikuwa likishikiliwa na mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe.
 
Ndugu EMMANUEL KWAYU, mkurugenzi mkuu wa kampuni ya dolphin sea and air amejitosa kugombea ubunge jimbo la Hai kupitia chama cha mapinduzi. Jimbo hilo lilikuwa likishikiliwa na mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe.
Watu wa Hai msirudi nyuma na kuwachagua ccm kwanza nashangaa kwamba kuna chama kinachoitwa ccm huko HAI!
 
Ndugu EMMANUEL KWAYU, mkurugenzi mkuu wa kampuni ya dolphin sea and air amejitosa kugombea ubunge jimbo la Hai kupitia chama cha mapinduzi. Jimbo hilo lilikuwa likishikiliwa na mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe.

Huyu jamaa tangu 2005 anapambanaga na hapati
 
Back
Top Bottom