mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
He is very well known "BOFLO". Tambua hilo.
Majungu.com
je ulimuuliza kwanini unatinda nyusi?
Je ulimweleza hayo mengine yaliyokukera?
Kama hukumweleza unataka sisi tukusaidie vipi?
Mbona ana family ni mume na ni baba,labda ni rumors tu kwa vile anajipenda sana.
Mbona ana family ni mume na ni baba,labda ni rumors tu kwa vile anajipenda sana.
dah...........afadhalimbona ana family ni mume na ni baba,labda ni rumors tu kwa vile anajipenda sana.
Kaka kujipenda hadi ukatinda nyusi kama mwanamke mmmmh????????? hapo pana ulakini, sio kila punga hana uwezo wa kuzalisha miaka ya 90's nimefanya kazi kwenye shirika moja la umma kulikuwa na bwana mmoja anafanya kazi na mkewe offisi moja amini usiamini huyo papa alikuwa punga na chakuchelesha alikuwa anatembea na mwamnaume mwenzie wanaefanya kazi wote na mkewe nae akawa anatembea na mtu wa hapohapo kazini, kitu walichokifanya ni wale waliokuwa wanatembea na mke na mme wakawa marafiki sasa mmoja wao akiwa na hamu na mpenzi wake wanapanga kila mtuanamchukua wake wanatoka ila yule anaye tembea na mama anakuwa wakwanza kumrelease mama ili asishtukiwe then baada ya saa moja baba nae anaruhusiwa kurudi nyumbani. na hii habari karibu watu wote walikuwa wanajua pale ofisini ila kwao iliwekwa kama siri kubwa sana, huyo mama alizaa watoto 3 na huyo baba ambaye ni mume wa ndoa ya kanisani. hivyo basi usimsemee mwenzio kwani hujui undani wake
he has to work on the whole thing....anakosea pale anaporemba mno .. uswazi tunasema kuchamba kwingi kutoka na m@vi
Juzi hapa alianza kuuliza wasanii kuhusu kama wana mademu au kama ndio haohao nk. which to me doesnt appeal kwa kipindi
songs selection is also something to review
Kaka kujipenda hadi ukatinda nyusi kama mwanamke mmmmh????????? hapo pana ulakini, sio kila punga hana uwezo wa kuzalisha miaka ya 90's nimefanya kazi kwenye shirika moja la umma kulikuwa na bwana mmoja anafanya kazi na mkewe offisi moja amini usiamini huyo papa alikuwa punga na chakuchelesha alikuwa anatembea na mwamnaume mwenzie wanaefanya kazi wote na mkewe nae akawa anatembea na mtu wa hapohapo kazini, kitu walichokifanya ni wale waliokuwa wanatembea na mke na mme wakawa marafiki sasa mmoja wao akiwa na hamu na mpenzi wake wanapanga kila mtuanamchukua wake wanatoka ila yule anaye tembea na mama anakuwa wakwanza kumrelease mama ili asishtukiwe then baada ya saa moja baba nae anaruhusiwa kurudi nyumbani. na hii habari karibu watu wote walikuwa wanajua pale ofisini ila kwao iliwekwa kama siri kubwa sana, huyo mama alizaa watoto 3 na huyo baba ambaye ni mume wa ndoa ya kanisani. hivyo basi usimsemee mwenzio kwani hujui undani wake
nisaidie kushangaa....
ila sipendi kabisa anavyokiendesha kipindi cha gospo traks, it used to be my fav on sunday monings
anaongea saaaaana, na mambo ya kupaisha paisha watu
amenikera mpaka nammiss yule jamaa wa kabla yake!!!!