Hehehee eti gospo talks...Yani we acha tu. Mi nakaribia kuacha kusikiliza hicho kipindi ambacho nilikuwa sikikosi. sasa si gospo traks, bali ni gospo talks maana longolongo zimekuwa ndo ada ya kipindi
Mkuu kama unaongelea harusi iliyofanyika Diamond Jubilee ilikuwa poa sana aliendesha vizuri sana, Beef zako na yeye usichangaye na kazi yake. Yule ni Mtanashati safi na kijana amempokea Kristo..
Kijana Harris Kapinga,
Kwa kweli sikufahamu wala hivyo vipindi vyako huku niliko havisikiki,ila kuhusiana na issue ya kukamerouniwa hapo kama ni kweli basi, acha mara moja mrudie mola wako wa kweli, TUBU na cahana nahuo upuuzi.
Kutinda nyusi ni ulimbukeni wako tu so unaweza kuendelea nao au kuacha,
Ila huko kuwa BWABWA ndio balaa, ACHA.
yereuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Yani we acha tu. Mi nakaribia kuacha kusikiliza hicho kipindi ambacho nilikuwa sikikosi. sasa si gospo traks, bali ni gospo talks maana longolongo zimekuwa ndo ada ya kipindi
he has to work on the whole thing....
kipindi kizima atacheza nyimbo sijui 'kumi', muda unaobaki mpaka awapaishe washikaji zake sijui wako china, marekani, japan....aaagrrrr yaani fulu kuboa!!!
his selection is monotonous...boring!!!
na hivi ni lazima apige kwaya za dhehebu fulani tu? (au madhehebu machache so to say)
dah, huku ni bongo bana sio ulaya acha kumpotosha mwenzako, ataliwa kiboga kweli......ila tu be cautious kwa mtu anayekutinda nyusi mwambie asipunyue sana kama wadada,wanaume zinabaki kuwa nzito kidogo...ndivyo nilivyoona hapa ulaya.
Presha imenipanda kwa kweli, harris huyu nayemjua mie? Au nimemchanganya? Sio yule wa Terminal?