Ndugu Harris Kapiga

Status
Not open for further replies.
Mkuu kama unaongelea harusi iliyofanyika Diamond Jubilee ilikuwa poa sana aliendesha vizuri sana, Beef zako na yeye usichangaye na kazi yake. Yule ni Mtanashati safi na kijana amempokea Kristo..

Dah ni kweli usemacho huyu mleta uzi ana lake la moyoni c bure kwnz kwann mumuandame mtu kiac hcho co vzr na Mungu hapendi majungu!! ukiona anakosea mwite mwambie ukishindwa ita wazee wny hekima otherwise umeshindwa tupa kule....fanya yako!!
 
Hakuna mtu anayejichukia bhanaaa.
Huyu jamaa alishawahi kukiri kuwa yeye si riski.
Mnazungukazunguka nini sasa.
 

muongeze na MUSSA WA HUSSEIN mwanadaslam
 
kumbe mwanaume? Anachonga nyusi na kupaka hayo mapoda. Mungu atunusuru na vizazi vyetu jamani
 
muongeze na MUSSA WA HUSSEIN mwanadaslam

tafadhali we jamaa, unuhakika na unachokinena? usijemharibia ,wenzako kwa jambo ambalo pengine hausiki nalo,if its true bas i hali ni mbaya,i'm not God to judge anyway....
 
Dah yani hata sielewi kama anasingiziwa au la!!maana nilipoona hii habari ikabidi nitazame picha zake, nikakuta ametinda nyusi tena zaidi ya mkewe!Nguvu zote za kumtetea ama kumwambia shoga zikaisha...atajijua mwenyewe, MMMhh kama ana iko kitabia dah hatari, hii ni kama Laani kibinadamu
 
sio sawa kuhukumu ila jamaa namna anavyoongea na pozi zake redion ni shidaaa.narudia simfahamu na wala sijui kama mtata ila anatilia mashaka...

Pozi zake ndio zinamuharibia
 
Mwenye picha zake maana ata simjui lol Mungu anusuru vizaz vyetu
 
Kama alivyotanabaisha BornTown, hawa madubwana wengine wako na familia zao na watoto ni wao kabisa...kwa hiyo haijalishi kigezo kuwa ana mke na watoto. Sitaki kumhukumu huyu jamaa naskia pia anamiki Gospel NiteClub mjini hapa ila yawezekana akawa mchicha mwiba, we can not refute the possibility of him being gay since how you dress describe you in a million ways than one can tell!
 

Heart, kuscrub, massage, pedicure hizo hazina shida kabisa na nadhani wengi tu wanafanya kiutanashati. Ila kunavitu ambavyo kama wewe ni mdadisi by nature huhitaji siku nzima kujua...these people can conceal things for a longtime or even lifetime beware.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…