Kuna mambo hujayajua, ukiyajua utanyamaza mwenyewe!Sawaaa,sikatai ila tabia ni kama ngozi jaman...kama angekuwa shoga si tungeona,huo muda fupi sio wiki moja au mbili na wala sio mwezi...maaana vitu vingine mseme mkiwa mmeshuhudia,kuliko kufanya dhana kwasababu tu ya swagga zake zinaboa..mmeshamshuhudia akigeuzwa mpaka mumuite shoga??? maana shoga hata itokee nyapu ya mdada hapo hashtuki,vipi yeye ana watoto..au ndo kapandikiza???
Na kweli hii dunia bora uamini kuliko kutoamini ili siku ukishuhudia live usizimeKuna mambo hujayajua, ukiyajua utanyamaza mwenyewe!
Baada ya miaka saba ya hii posti YAMETIMIAhuyu mheshimiwa nilianza kumsikia kupitia redio fulani ya dini mwaka jana kama sikosei. Baadae nikamsikia ile redio yenye beef na mbunge. Ana kipindi cha weekend tu. Sijui wiki nzima ndo anakula bata tuu. Hainihusu
Juzi kati nimemkuta akisherehesha harusi fulani. Nilifurahi mwanzoni lakini baadae sikufurahishwa sana na jinsi alivyoiendesha ile shughuli.
Huwa sipendi kuongea sana lakini sikupenda alivyokua amejipigilia make-ups na kutinda nyusi that is one pia sikupenda alivyokuwa anahandle ile sherehe its like it was not that too man enough!! nawasilisha mawazo yangu
improve something brah unless otherwise stated.
I have known this dude over 10years now. Anamambo fulani hivi ambayo cyo ya kiume kivile which is normal these day but he is nt gay .
Watu wanakula mzigo kitambo mnoDah yani hata sielewi kama anasingiziwa au la!!maana nilipoona hii habari ikabidi nitazame picha zake, nikakuta ametinda nyusi tena zaidi ya mkewe!Nguvu zote za kumtetea ama kumwambia shoga zikaisha...atajijua mwenyewe, MMMhh kama ana iko kitabia dah hatari, hii ni kama Laani kibinadamu
HaijafaClouds fm is dying slowly, yaani kila mtu hiyo station ni mbaya.
Sugu nimekukubali wewe ni mzee wa kuanhgusha majabali