Mikopo Chefuchefu JF-Expert Member Joined May 15, 2017 Posts 3,373 Reaction score 6,795 Apr 18, 2019 #21 Nina wk moja sasa tangu niache kumfolow insta...
clixus JF-Expert Member Joined Dec 4, 2016 Posts 813 Reaction score 628 Apr 19, 2019 #22 Duu uli m follow kabisa Mikopo Chefuchefu said: Nina wk moja sasa tangu niache kumfolow insta... Click to expand...
Duu uli m follow kabisa Mikopo Chefuchefu said: Nina wk moja sasa tangu niache kumfolow insta... Click to expand...
BoyOfGod JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 1,055 Reaction score 1,572 Apr 19, 2019 #23 akil zake zikimrudia atashangaa. anachofanya
Aigoo JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 3,124 Reaction score 2,819 Apr 20, 2019 #24 Masanja said: Kwani umelazimishwa kumfuatilia? Mind your own business mkuu! Maisha ni marahisi sana ukiamua kufanya yako bila kufuatilia yasiyokuhusu! Ni ushauri tuu…. Click to expand... Nyie ndo mnaona watu wanafanya madudu mnawaacha tu warahi wewe hata ukimkuta mwizi anakuibia kwako utamwacha tu kwa kauli yako
Masanja said: Kwani umelazimishwa kumfuatilia? Mind your own business mkuu! Maisha ni marahisi sana ukiamua kufanya yako bila kufuatilia yasiyokuhusu! Ni ushauri tuu…. Click to expand... Nyie ndo mnaona watu wanafanya madudu mnawaacha tu warahi wewe hata ukimkuta mwizi anakuibia kwako utamwacha tu kwa kauli yako
Ngushi JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 9,065 Reaction score 18,358 Apr 20, 2019 #25 Nilisikia amesimamishwa kazi!