Ndugu Nape kuwa wakala wa DSTV sijapenda

Ndugu Nape kuwa wakala wa DSTV sijapenda

Fundi CEO

Senior Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
169
Reaction score
192
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
 
Najaribu kuangslia sasa hivi hata TBC haipo. Nipeni msaada ITV ni namba ngapi wapendwa?
 
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Watzn mna maneno Sana.
 
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Kwa kuwa ulikuwa miongoni mwa mliotufungia watanzania gizani hata kuondosha channel za ndani na kutuachia kile chombo Cha chama na vyombo mamluki wa chama. Roho na ikuume sana wenzio wameshatambua ilikuwa fatal mistake.
 
Mkuu umeanza kumiliki decoder lini? Na unatumia deocder ipi na sheria inasemaje kuhusu chanels za bure?
 
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Kwakuwa tulitunga Sheria Kwa kuwakomoa wengine Kwa uzalendo uchwara acha tupambane na matokeo yake.
 
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Watanzania bhana
 
Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.

Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.

Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Ulitaka Awape TBC ya CCM

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom