Alipaswa hili swala alizungumzie kwenye ofisi Yake ndogo DSM. Ameenda mbali zaidi na kusema hizo channel za bure zitakuwepo kwenye jicho king'amuzi.
Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.
Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.
Makampuni Mengine yata hisi amebadilisha sheria kwa ajili ya kuipa upper hand DStv.
Wakati kihuhalisia swala lilikuwa ni leseni walitakiwa kulipia, Kama alivyo Fanya AZAM.