Ndugu Nape Nnauye umeona kombe la dunia ndiyo kipaumbele kuliko matatizo mengine?

Ndugu Nape Nnauye umeona kombe la dunia ndiyo kipaumbele kuliko matatizo mengine?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Ewe bwana mdogo nape, nimeiona kauli Yako juu ya malalamiko ya watu juu ya uonyeshwaji wa kombe la dunia

Sasa wakati tunalalamika na vifurushi Kwa Zaidi ya mwaka mzima hujatoka hadharani kukemea.

Msitufanye kama watoto wadogo, kutupa makopo tuchezee huku mnapiga madili. Acheni kabisa hizo mambo.

Hukumu yenu yaja watu wanaelewa sana janjajanja yenu.

Screenshot_20221121-185046.jpg
 
Malalamiko ya kupandisha hovyo ya vifurushi hajayaona kabisaa!
Anajua watu wanapenda vitu visivyo vya msingi na yeye anapita humohumo,
Kuna watu wanampongeza Nepi huko waliko, so sad!!
Tanzania 😤
 
Serikali sikivu mnooo hii.tunaomba lifanyiwe kazi mkuu.
 
Dah hapa sas ndyo viongozi wanadhihirisha ujinga wao,
Mambo ya mpira ambayo hayana tija mambo siyo ya lazima anayatolea tamko lakin kwenye mambo ya msingi amekausha kana kwamba hajui kinachoendelea
Walalahoi tupambane tu na hali yetu amna viongozi wote wapo after money tu kwa matumbo yao and they dont care about us !
 
Back
Top Bottom