Pre GE2025 Ndugu Nchimbi kumpigia chapuo Elibariki Kingu ateuliwe ni kudharau mamlaka za uteuzi

Pre GE2025 Ndugu Nchimbi kumpigia chapuo Elibariki Kingu ateuliwe ni kudharau mamlaka za uteuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,401
Nimekusikia ukiwa ziarani Singida jimboni kwa Elibariki Kingu eti ungekuwa na mamlaka ungemteua kwa kazi nzuri inayoifanya,

Swali Kingu kazi zipi njema anazozifanya mpaka ukaona mamlaka zinafaa kumteua kwa high post?

Naendelea kukwambia Nchimbi,mamlaka ya uteuzi ambaye ni rais,ina jicho pana sana

Hapo ulipo wewe na huyo mwenezi Makala mmepwaya sana,sana mpo hapo kupanga safu za uongozi kuelekea 2025 election tu,si kumsaidia mwenyekiti wa chama,

Kukemea tu wabadhirifu wa mali ya umma na viongozi wazembe mmeshindwa,kazi kusifia watumishi wasiowajibika
 
Nimekusikia ukiwa ziarani Singida jimboni kwa Elibariki Kingu eti ungekuwa na mamlaka ungemteua kwa kazi nzuri inayoifanya,

Swali Kingu kazi zipi njema anazozifanya mpaka ukaona mamlaka zinafaa kumteua kwa high post?

Naendelea kukwambia Nchimbi,mamlaka ya uteuzi ambaye ni rais,ina jicho pana sana

Hapo ulipo wewe na huyo mwenezi Makala mmepwaya sana,sana mpo hapo kupanga safu za uongozi kuelekea 2025 election tu,si kumsaidia mwenyekiti wa chama,

Kukemea tu wabadhirifu wa mali ya umma na viongozi wazembe mmeshindwa,kazi kusifia watumishi wasiowajibika
Ni kweli hawa watu wamepwaya sana isee..!
 
Nimekusikia ukiwa ziarani Singida jimboni kwa Elibariki Kingu eti ungekuwa na mamlaka ungemteua kwa kazi nzuri inayoifanya,

Swali Kingu kazi zipi njema anazozifanya mpaka ukaona mamlaka zinafaa kumteua kwa high post?

Naendelea kukwambia Nchimbi,mamlaka ya uteuzi ambaye ni rais,ina jicho pana sana

Hapo ulipo wewe na huyo mwenezi Makala mmepwaya sana,sana mpo hapo kupanga safu za uongozi kuelekea 2025 election tu,si kumsaidia mwenyekiti wa chama,

Kukemea tu wabadhirifu wa mali ya umma na viongozi wazembe mmeshindwa,kazi kusifia watumishi wasiowajibika
Unajua amempa rushwa kiasi gani?
 
Nimekusikia ukiwa ziarani Singida jimboni kwa Elibariki Kingu eti ungekuwa na mamlaka ungemteua kwa kazi nzuri inayoifanya,

Swali Kingu kazi zipi njema anazozifanya mpaka ukaona mamlaka zinafaa kumteua kwa high post?

Naendelea kukwambia Nchimbi,mamlaka ya uteuzi ambaye ni rais,ina jicho pana sana

Hapo ulipo wewe na huyo mwenezi Makala mmepwaya sana,sana mpo hapo kupanga safu za uongozi kuelekea 2025 election tu,si kumsaidia mwenyekiti wa chama,

Kukemea tu wabadhirifu wa mali ya umma na viongozi wazembe mmeshindwa,kazi kusifia watumishi wasiowajibika
Kingu ni nani huyu. Hili jina ni familiar kidogo.
Alikuwa na kashfa fulani.
Ilikuwa kashfa gani ile?
Ulawiti,sijui nini.
 
Ukiwaangalia vizuri mabwana Hawa(kingu na nchimbi) ...kama kuna resemblance fulani hivi ...
 
Back
Top Bottom