Uchaguzi 2020 Ndugu Tundu Antipas Lissu, mgombea bora wa urais kuwahi kutokea Tanzania

Ccm mwaka huu wanalo,huyu mwamba ni no nyingine,sio lile zezeta Edo lilishinda badala ya kudai haki yake likasema linamwachia Mungu,Mungu yuko busy na mambo ya muhimu ya kufanya ..
 
Mapolisi wanapigwa vifungu vya sheria huko kanda ya ziwa wanatulia na mabomu yao kama maji kwenye mtungi!
Adi jamaa wanaona wivu! Akuna kitu kizuri kama kuna jambo ambalo ulikuwa hulijuwi ukapata mtu wa kukufundisha hakika Lissu ni bonge la mwalim Mungu ampe kila la kheri
 
Laiti Kama kipindi cha Lowasa upinzani wangekuwa na mgombea imara na machachari Kama TL, CCM ingemtangulia Mkapa kabulini. Hata hivyo, CCM itamfuata Mkapa very soon. Lowasa kumbe alikuwa zoofu taaabani.
 
We unaumwa nini... wewe na baba ako nani wakwanza kuijua jamii forum?
 
Pia ndiye laghai mkubwa kuwahi kutokea Tanzania, anaetafuta kiki kwa kujenga chuki
 
Kanzu ni vazi kama vazi lingine punguza kamasi ndani ya kichwa chako!
 
TUNDU ANTHIPAS MUGHWAI LISSU Ni TUNU kwa Taifa hili .

Ni mzalendo wa dhati kweli kweli kwa maneno na vitendo

Hana chembe ya unafiki ,ujeuri ,ujuaji ,kiburi,kisasi,ubabe .

Anakupa darsa murua unamkubali unalainika na kusema "ama kwa hakika hapa MUNGU aliumba kiumbe chema sana"

Msomi asie ma doa ana mtetexi kweli wa wanyonge kwa maneno na vitendo (bishaaa[emoji44])

Kama ambavyo katika soka tunamshuru MUNGU kutuletea na kuona kipaji Cha MESSI .Hata katika Sisi watz tunamshuru MUNGU kutuletea TUNDU lissu

Viva lissu Viva TANZANIA.[emoji123]
 
hutaki sasa, ccmu wale wabashite mtandaoni sijui walipotelea wapi,ccm wengi mabumbumbu tu hawajui kutumia media vizuri zaidi ya kufuatilia clips za Amberuty
 
Lissu mnafiki mkubwa huyu, limevaa kanzu huku linachuki kubwa na waislam
Kuna mnafiki kama huyo wa kwenu anayesema maendeleo hayana vyama halafu wakati huo huo anasema msiponichagua maendeleo mtayasikia? Pumzi imekata ndio maana mnawaya waya tu. Mnaitisha press mnaongea utumbo (polepole) halafu mnalituma robot lenu (mahera) lije kuanika ujinga wake hadharani wakati mliongelea chumbani. Safari hii mmegusa live current.
 
Hakika ni Mgombea Bora .... Tena ni Kizazi cha BORN FREE (Baada ya Uhuru). Yaani anapambana watu zaidi ya 5 kwa wakati moja halafu anawagalagaza wote. Magufuli, Majaliwa, Samia, Pinda, Kikwete, Mzee Makamba na sasa Mahela aliyeongezeka kwenye team!!
Ni YEYE
 
KINACHONISHANGAZA TUNDU HASEMII KABISA SWALA LA USHOGA WAKATI ANATUHUMAA KUWA KATUMWA KUPIGIA UPATU USHOGA
 
Pole sana mkuu maana naona umeandika kwa uchungu sana, upinzani uko kwenye damu. Sasa na nyie mnaenda kuwa wapinzani, nina uhakika hata miaka miwili hamfiki kabla chama chenu hakijafa. Tuliwaambia kuwa jiwe hafai kuwa hata kiongozi wa familia lakini mkabisha, sasa mnavuna mlichopanda

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…