Ndugu wa Agness Masogange wamsubiri mahakamani bila mafanikio

Kusema ukweli aliyeturoga sisi Watanzania alaaniwe

Yaani akili zetu zimegoma kufikiria mambo mengine.....kila jambo tunalinasibisha na mambo ya kipuuzi...........
Yameanza magreat thinkers jukwaa la siasa, habari hoja mchanganyiko juu pale lipo ila kusema ukweli hata ww kuna kitu umeona hapo
 
Mpiga picha hujatutendea haki kabisa.... Hii sehem uliyotuonyesha hata shetani atakukataa siku ya mwisho....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…