Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamemjia juu producer wa muziki ambaye alikuwa wa kwanza usiku wa jana kutoa taarifa za kifo cha ndugu yao kinyume na taratibu huku akitangaza kuwa marehemu alikuwa anaugua ugonjwa wa UKIMWI wa kurogwa.
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamesema kuwa marehemu amekufa kwa Malaria na UTI na magonjwa hayo yameanza kumsumbua tangu Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kuwasili kutoka Singida alikoenda kwenye show.
Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamesema kuwa marehemu amekufa kwa Malaria na UTI na magonjwa hayo yameanza kumsumbua tangu Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kuwasili kutoka Singida alikoenda kwenye show.