OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kama mnavyojua mashamba yetu ni ya kienyeji yanahitaji machine all weather badala ya zile kubwa za Kubota kama hiyo hapo juu.
Nipeni connection chap nikimbizane na msimu wa mavuno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niwahi siti ya mwanzoni make Mimi mwenyewe naihitaji
Kama mnavyojua mashamba yetu ni ya kienyeji yanahitaji machine all weather badala ya zile kubwa za Kubota kama hiyo hapo juu.
Nipeni connection chap nikimbizane na msimu wa mavuno
Tusubiri wadau,umeshaulizia wapi na wapi mkuu?Ngoja niwahi siti ya mwanzoni make Mimi mwenyewe naihitaji
ninayo KUBOTA DC-60Tusubiri wadau,umeshaulizia wapi na wapi mkuu?
Asante mkuu. Ila tu tunaulizia mashine simple hata kwa mashamba ya kawaida. Hiyo sio combined?