Ndugu Walimu, tujiandae na matumizi ya kompyuta

Ndugu Walimu, tujiandae na matumizi ya kompyuta

Mwanasheria asingekuw anashindwa kesi lkn
The two different cases.Usome ualimu miaka miwili/mitatu halafu haujui kuwasha,kutumia abc zake chache,kuprint,kucheza hata games na kuizima tu?Holy mackerel!Na zaidi mtaulizwa kompyuta ni nini?Au kazi ya mouse ni nini?Au utofautishe deski kompyuta na ile mpakato.Nayo utashindwa?Mfe tu sasa!
 
The two different cases.Usome ualimu miaka miwili/mitatu halafu haujui kuwasha,kutumia abc zake chache,kuprint,kucheza hata games na kuizima tu?Holy mackerel!Na zaidi mtaulizwa kompyuta ni nini?Au kazi ya mouse ni nini?Au utofautishe deski kompyuta na ile mpakato.Nayo utashindwa?Mfe tu sasa!
Kuna neno linaitwa mtihani, interview na especially wabongo hatuna confidence, acha wajiandae walimub
Chumba cha usaiili ndio Ttzo
 
Mthani wa online hata kama hujawahi kutumia computer unafanya maana unaendeshwa na maIT kazi yako ni kuclik jibu na kuendelea hakuna reverse maswali yakiisha ndo umemaliza hivyo! Kwa hiyo msitishwe!
 
Mthani wa online hata kama hujawahi kutumia computer unafanya maana unaendeshwa na maIT kazi yako ni kuclik jibu na kuendelea hakuna reverse maswali yakiisha ndo umemaliza hivyo! Kwa hiyo msitishwe!
Kujua kutumia computer ni muhimu bhana kama hujui kushika kasa si unaweza ku close tab ba ukasubmit mtihani bila kujua? 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom