Ndugu wana JF nimeamua leo mapema ni-rest in peace mapema

bolivia

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2021
Posts
3,083
Reaction score
5,179
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-rest in peace mapema, kwanini nimechukua uamuzi huu? Kwa sababu niliamka mapema sana, saa 11 asubui nikaenda mazoezini, halafu baadaye nikajiandaa kwenda kazini, kutokana na uchovu wa leo wa kuamka mapema na kufika kazini kukuta kazi nyingi za kampuni.

Nimefanya kwa juhudi kubwa na kuitumikia kampuni, sasa nimerudi nyumbani nikiwa nimechoka sana, hapa nimeoga, nimekula, sasa nimeamua ni rest in peace, nipumzike kwa amani!

Yaani nijipumzishe mapema tu ili kesho pia niamke mapema kuelekea kazini! [emoji848]

#RestInPeace
 
[emoji99][emoji99][emoji99][emoji99][emoji99]
 
Kwa hiyo umesharest in peace au bado una subiri subiri angalao tukuage
 
shida ya mpumbavu, upumbavu wake huumiza wengine na sio yeye

hao wanao kuombea ufe hawajui ukifa huta elewa lolote, zaidi utaumiza wanao baki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…