King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu wana JF,
Ndugu yangu ambaye alikuwa anafanya kazi softnet amefukuzwa kazi kwa sababu alichukua fedha zake za NSSF wakati bado anaendelea na kazi.
Amekuja kuomba Ushauri kama wanasheria wanaweza kumtetea na kupata haki yake.
Swali aliloniuliza kama kuchukua fedha NSSF ni kosa kisheria mbona mifuko mingine unaweza kuchukua hata nusu ya mafao huku ukiendelea na kazi?
Yupo home Arusha amekuja kupunguza machungu na kuwaona ma advocates wa huku.
Ndugu yangu ambaye alikuwa anafanya kazi softnet amefukuzwa kazi kwa sababu alichukua fedha zake za NSSF wakati bado anaendelea na kazi.
Amekuja kuomba Ushauri kama wanasheria wanaweza kumtetea na kupata haki yake.
Swali aliloniuliza kama kuchukua fedha NSSF ni kosa kisheria mbona mifuko mingine unaweza kuchukua hata nusu ya mafao huku ukiendelea na kazi?
Yupo home Arusha amekuja kupunguza machungu na kuwaona ma advocates wa huku.